Happy Birthday Mahondaw ❤️

Happy Birthday Mahondaw ❤️

Kama Smart anafanya hivi , unajua Mahondaw anafanya nini in return?
Generation ya wanaume (baba na babu zetu kurudi hadi kwa Adam) wanaowekeza vingi k.v attention resources na mda kwenye talking stage kwa mwanamke, huku wao wakipata chenga chenga za mkate, inaenda kuisha taratibu, jinsi maarifa yanavoongezeka, chivalrous men kama kina smart911 wanazidi kupotea..

Wadada wengi mtandaoni wanalalamika na sisi wanaume kwenye early stage za mahusiano tunapiga vizinga wadada 😁 tena wanasema kauli za wanaume hao zipo hivi (mamtu una elfu tano hapo) nikajiuliza dooh ni kweli au story, kama ni kweli, male species tumefikaje hapo 😮‍💨 binti kiziwi ephen_ ShesRise_1
 
Generation ya wanaume (baba na babu zetu kurudi hadi kwa Adam) wanaowekeza vingi k.v attention resources na mda kwenye talking stage kwa mwanamke, huku wao wakipata chenga chenga za mkate, inaenda kuisha taratibu, jinsi maarifa yanavoongezeka, chivalrous men kama kina smart911 wanazidi kupotea..

Wadada wengi mtandaoni wanalalamika na sisi wanaume kwenye early stage za mahusiano tunapiga vizinga wadada 😁 tena wanasema kauli za wanaume hao zipo hivi (mamtu una elfu tano hapo) nikajiuliza dooh ni kweli au story, kama ni kweli, male species tumefikaje hapo 😮‍💨 binti kiziwi ephen_ ShesRise_1
Subiri wanza we ni ile sample ya kina ba mtu?
 
Generation ya wanaume (baba na babu zetu kurudi hadi kwa Adam) wanaowekeza vingi k.v attention resources na mda kwenye talking stage kwa mwanamke, huku wao wakipata chenga chenga za mkate, inaenda kuisha taratibu, jinsi maarifa yanavoongezeka, chivalrous men kama kina smart911 wanazidi kupotea..

Wadada wengi mtandaoni wanalalamika na sisi wanaume kwenye early stage za mahusiano tunapiga vizinga wadada 😁 tena wanasema kauli za wanaume hao zipo hivi (mamtu una elfu tano hapo) nikajiuliza dooh ni kweli au story, kama ni kweli, male species tumefikaje hapo 😮‍💨 binti kiziwi ephen_ ShesRise_1
Uzi wa watu wa celebration we unaleta story zako za alfu lela ulela.

Unanikumbusha wifi yangu mmoja muhindi kwenye birthday za wengine lazima aanzishe kajiugomvi afokee watu.

Penda amani.
 
Generation ya wanaume (baba na babu zetu kurudi hadi kwa Adam) wanaowekeza vingi k.v attention resources na mda kwenye talking stage kwa mwanamke, huku wao wakipata chenga chenga za mkate, inaenda kuisha taratibu, jinsi maarifa yanavoongezeka, chivalrous men kama kina smart911 wanazidi kupotea..

Wadada wengi mtandaoni wanalalamika na sisi wanaume kwenye early stage za mahusiano tunapiga vizinga wadada 😁 tena wanasema kauli za wanaume hao zipo hivi (mamtu una elfu tano hapo) nikajiuliza dooh ni kweli au story, kama ni kweli, male species tumefikaje hapo 😮‍💨 binti kiziwi ephen_ ShesRise_1
Sijakuelewa ulichoandika
Unasumbuliwa na mapenzi?
 
Leo ni siku ya kipekee sana kwako. Ninayo furaha sana kukutakia kheri ya kuzaliwa.

Wewe ni zaidi ya mpenzi kwangu, ni rafiki yangu wa kweli, faraja yangu na sababu ya tabasamu langu kila siku.

Nakutakia maisha yenye furaha, afya njema, mafanikio na upendo usioisha.

Mungu akupe miaka mingi yenye baraka na kila ndoto yako itimie. Endelea kung'aa daima, kama ulivyo na iwe kheri kwenye siku yako ya kuzaliwa.

You are a star, which shines forever.

View attachment 3596879

Cc: Mahondaw
Muache asome kwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom