uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 18,415
- 30,708
Hongera sana Kwa Baby wetu.Leo ni siku ya kipekee sana kwako. Ninayo furaha sana kukutakia kheri ya kuzaliwa.
Wewe ni zaidi ya mpenzi kwangu, ni rafiki yangu wa kweli, faraja yangu na sababu ya tabasamu langu kila siku.
Nakutakia maisha yenye furaha, afya njema, mafanikio na upendo usioisha.
Mungu akupe miaka mingi yenye baraka na kila ndoto yako itimie. Endelea kung'aa daima, kama ulivyo na iwe kheri kwenye siku yako ya kuzaliwa.
You are a star, which shines forever.
View attachment 3596879
Cc: Mahondaw
Happy Birthday my wife wake Smart