Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
Last edited by a moderator:
hubby imekuaje tena na wake wenzangu jamani?? si ulishakatazaga wake zako kuwekwa kwenye hayo mashindano?? lol, hubby hamishia hayo malabuku zao utosini ebo! have missed u too hubby, and u knw that!
Haya, Ruhazwe JR popote pale ulipo, ukuje pande hii ASAP uwasome wake zangu cacico na BADILI TABIA.bora umekuja hubby....
nani huyo anathubutu kunishindanisha mke wa ujana wako kwenye mashindano ya umiss?
Yaani wake wa Asprin tupite jukwaani na kanjiri na kichupi?
I see....
Vijana wa siku hizi heshima zero kabisa
Mjini hapa baba, mwenye kisu kikali ndie anaekula nyama! Zubaa uchekwe!
Afu kamati ilikukabidhi hela ya keki ya kizungu sasa kama hujipendi we leta hayo makitu yako uone!
aahhh my dada sweetlady, ni kiktambo kidogo sijakutia machoni, hope kadogoo hajambo! Vin Diesel my she m wa ukweeeeeeeeeee HAPPY BIRTHDAY, may u live to blow a 1000 candles! MUNGU MWEMA AKULINDE SHEMEJI, NA AKUPE KILA LA HERI!
sweetlady kiatu chako kitatua na KLM muda mfupi ujao, ni CL ya nguvu, leo utakuwa among wake wa wadhungu, lol!
Happy birthday Vin Diesel
Mwenyezi Mungu akujalie maisha ya heri na baraka na ubarikiwe sana sana
Maisha yako yakawe ya baraka na furaha na uishi maisha marefu sana sweetlady jua kwamba The Finest kasepa na pesa za suti na sasa hivi hapa natembea na RB hivyo popote atakapoonekana akamatwe
japo nasikia jana alionekana mitaa ya samaki samaki akiwa njwiiii
Nashukuru sana mkuu Rocky kwa wishes... The Finest tulishamstukia na kuna nyingine tuliandaa mapema kabisa.....
Aisee unanisingizia, mie wala sina jazba kabisa, niko na furaha sana vile leo mume kipenzi kazaliwa! Agiza kinywaji basi.
Mke wangu hajawahi kuwa na jazba hata kidogo....she is so sweet na jina la sweetlady amelizidi mbali sana....
Ndahani ukiona nimekualika jua nakuweza mpaka basi so usiwe na wasi agiza utakacho mpendwa!
Orayt then.....
Happy Birthday Vin Diesel. Mungu akujalie afya njema. Ukue mpaka uone wajukuu zako wakiizunguka meza yako wakigombea karanga alizowakaangia bibi yao.
Mwaaaaaah hapo kwenye kiatu ndio mana nmekuchagua wewe kipenzi...(napost via mchina lol, nkihamia via kompyuta utalamba LIKE)aahhh my dada sweetlady, ni kiktambo kidogo sijakutia machoni, hope kadogoo hajambo! Vin Diesel my she m wa ukweeeeeeeeeee HAPPY BIRTHDAY, may u live to blow a 1000 candles! MUNGU MWEMA AKULINDE SHEMEJI, NA AKUPE KILA LA HERI!
sweetlady kiatu chako kitatua na KLM muda mfupi ujao, ni CL ya nguvu, leo utakuwa among wake wa wadhungu, lol!
Me like that... Mwaaaaaah!Ngoja niandae nguvu maana baada ya kufurahi na kushereheka, waafrika huwa hatuendi kulala bila mwendelezo wa sherehe...na kwa kuwa wageni waalikwa watakuwa wengi akiwemo Erotica, mi sina shaka. Furaha yangu furaha yako, teh teh teh