Happy birthday bidada Mungu akupe haja ya moyo wako na mwaka huu kabla haujaisha uonyeshwe mambo makubwa magumu usiyoyajua ambayo jicho wala sikio halijawahi sikia na kuona zaidi sana uzidishiwe ufahamu ktk kuzijua njia na makusudi ya Bwana juu ya maisha yako. Nitakua mchoyo wa shukrani nisipomshukuru aliyetupa taarifa za siku hii muhimu kwa bidada , asate sana mkuu kwa kutujuza huenda wengine tusingeona.