Happy Birthday Lady Furahia

Happy Birthday Lady Furahia

Heri ya siku ya kuzaliwa,nakutakia kila la kheri katika safari yako ilobakia..
 
ladyfurahia
ngbbs4da201869bc36.jpg
 
asante cousin youngmaster sijui amejuaje bestito mpaka amekuwahi ila nakumbuka march nilimwambia naona ameweka kumbukumbu kabisa ila hamna shida nashkuru cousin
Nakutakia heri katika kumbukumbu ya siku yako ya kuzaliwa... Mungu awe nawe na akupe maisha marefu Ameen..

mac_cosmetics_cake_2014.jpg
 
Asante bestito nashukuru sana
Happy birthday lady furahia...Mungu akujalie maisha marefu yenye mafanikio tele


Asante rafiki nimefurahia sana kuiona
Heri ya siku ya kuzaliwa,nakutakia kila la kheri katika safari yako ilobakia..

Nashukuru sana bestito ubarikiwe
happy birthday lady furahia
i wish you all u wish for yourself

Asante kwa zawadi hii nzuri nimeipokea

huwaga wanaangalia kalenda ya jf
Hivi huwa mnajuaje kumbukumbu za siku za watu kuzaliwa?

Ni kwamba mnajuana kiundani nje ya hapa JF au mnafuata taarifa zilizopo kwenye profiles za watu humu?

Nashukuru sana binamu kwa kuniletea zawadi hii nzuri kwangu waambie wazazi kuwa nimeipokea na nimeifurahia sana bado pampers nasubiria
Birthday Shooes.JPG


Daddy watu8 na mummy measkron wamenipa zawadi hii nikuletee.....

Nashukuru sana rafiki kwa kunitakia heri na afya njema nimepokea
Happy birthday bidada Mungu akupe haja ya moyo wako na mwaka huu kabla haujaisha uonyeshwe mambo makubwa magumu usiyoyajua ambayo jicho wala sikio halijawahi sikia na kuona zaidi sana uzidishiwe ufahamu ktk kuzijua njia na makusudi ya Bwana juu ya maisha yako. Nitakua mchoyo wa shukrani nisipomshukuru aliyetupa taarifa za siku hii muhimu kwa bidada , asate sana mkuu kwa kutujuza huenda wengine tusingeona.

asante mumy wewe ulifanyika sababu ya mm kuwepo hapa jf
Happy birthday my dear daughter ladyfurahia may you live to blow 101 candles

asante bestito nimezipokea ubarikiwe
Heri ya kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa...

ulikuwa hujui kuwa mm ni Waziri wa miundo rejea wa TEAMRafiki mjengoni hapa ndo
lazima ujue kuwa hao ndo wajumbe wangu wakuu wa idara mbalimbali hapa jf bado kiongozi wao hajafika
Naona majina makubwa tu. Nangojea orodha B.

asante bestito mwache asononeke huyo kwani wakubwa tushaingia mjengoni ngoja tumwite Mtambuzi aamke pale kitandani aje hapa
amejisahau tu mkuu, usisononeke, Happy birthday Lady Furahia

Nashukuru binamu yani nimekumiso wewe we acha tu
Happy birthday ladyfurahia. Ukabarikiwe sana na ukawe na maisha marefu yenye furaha na amani

asante rafiki nashukuru msalime shem mwambie nitakuja tanga
mimi na mme wangu Mwanyasi tunakupongeza kwa kuifikia siku hi ya leo tena ambayo ni ya pekee kwako ni kwa neema tu na rehema za Mungu, twakutakia maisha marefu na yenye baraka. Happy birthdaiiiii....

asante my wiii wa ukweeee hivi kule kilimahewa utakwenda lini tena kuona shamba la kaka?
Happy birthday mamy.... wishes from your bro Erickb52

Wishing you joy & happiness

asante sana rafiki nimefurahijee?
Happy birthday ladyfurahia!!

Nilijua tu rafiki utakuja kwenye function pale LTHP asante kwa heri hii
Happy birthday ladyfurahia leo ni mwaka mpya kwako, timiza malengo yako

hadi mtoto wangu jamani ananitakia heri mwambie mama Passion Lady akulete home ule keki ya bday
kwa niaba ya KING Excel happy born day lady

ni kweli kama ulikuwepo ni mwezi watu waliotulia wasio na bughudha na watu wanaojituma kaitika kila nyanja iwe ya kuleta maendeleo si unaona mwenyewe King Melo naye yuko mwezi huu MAY asante kwa kunitakia heri NIMEFURAHIA SANA
Happy birthday May ni mwezi wetu watu waungwana wote!!
 
Last edited by a moderator:
Asante bestito nashukuru sana


Asante rafiki nimefurahia sana kuiona

Nashukuru sana bestito ubarikiwe

Asante kwa zawadi hii nzuri nimeipokea

huwaga wanaangalia kalenda ya jf

Nashukuru sana binamu kwa kuniletea zawadi hii nzuri kwangu waambie wazazi kuwa nimeipokea na nimeifurahia sana bado pampers nasubiria

Nashukuru sana rafiki kwa kunitakia heri na afya njema nimepokea

asante mumy wewe ulifanyika sababu ya mm kuwepo hapa jf

asante bestito nimezipokea ubarikiwe

ulikuwa hujui kuwa mm ni Waziri wa miundo rejea wa TEAMRafiki mjengoni hapa ndo
lazima ujue kuwa hao ndo wajumbe wangu wakuu wa idara mbalimbali hapa jf bado kiongozi wao hajafika

asante bestito mwache asononeke huyo kwani wakubwa tushaingia mjengoni ngoja tumwite Mtambuzi aamke pale kitandani aje hapa

Nashukuru binamu yani nimekumiso wewe we acha tu

asante rafiki nashukuru msalime shem mwambie nitakuja tanga

asante my wiii wa ukweeee hivi kule kilimahewa utakwenda lini tena kuona shamba la kaka?

asante sana rafiki nimefurahijee?

Nilijua tu rafiki utakuja kwenye function pale LTHP asante kwa heri hii

hadi mtoto wangu jamani ananitakia heri mwambie mama Passion Lady akulete home ule keki ya bday

ni kweli kama ulikuwepo ni mwezi watu waliotulia wasio na bughudha na watu wanaojituma kaitika kila nyanja iwe ya kuleta maendeleo si unaona mwenyewe King Melo naye yuko mwezi huu MAY asante kwa kunitakia heri NIMEFURAHIA SANA

Pamoja sana enjoy siku yako Pacha
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday bidada Mungu akupe haja ya moyo wako na mwaka huu kabla haujaisha uonyeshwe mambo makubwa magumu usiyoyajua ambayo jicho wala sikio halijawahi sikia na kuona zaidi sana uzidishiwe ufahamu ktk kuzijua njia na makusudi ya Bwana juu ya maisha yako. Nitakua mchoyo wa shukrani nisipomshukuru aliyetupa taarifa za siku hii muhimu kwa bidada , asate sana mkuu kwa kutujuza huenda wengine tusingeona.

You are welcome mpendwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom