Happy Birthday Husninyo!

We! Nipo hapa mpendwa! Nani analeta shida hapa?..huyu TF naona kazi ishaanza kumshinda, ameruhusuje wazamiaji? Hajui kazi ya wazamiaji ni kuharibu shughuli za watu?..

kama kuna tatizo nikakodishe walinzi kutoka kwa gadafi.
 
Nashukuru wifi langu...ur kaka bado yupo safarini mpendwa...amebanwa kidogo, naiman kufikia jioni anaweza akajoin hii party....ila tutawahi kuondoka coz atakuwa amechoshwa na safari...
 
kama kuna tatizo nikakodishe walinzi kutoka kwa gadafi.
Umeanza kukosa imani na bodyguard au?....tatizo litoke wapi wakati mimi niko hapa na ile binduki ya mamkwe wako King'asti a.k.a mke mwenzangu?
 
Umeanza kukosa imani na bodyguard au?....tatizo litoke wapi wakati mimi niko hapa na ile binduki ya mamkwe wako King'asti a.k.a mke mwenzangu?

basi bodigadi, i trust uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
 
Leo nimekuja mapema, sio kama siku ile nafika watu wameanza kuondoka. tena nimeleta bonge la zawadi: a big, big kiss. Happy birthday Husninyo!!!!

 
Kila la heri rafiki (usiniite shostito sipendi kabisa...lol)
Ujaaliwe yaliyo ya kheri !
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…