In this special date, some years back, uliletwa hapa duniani
Na sote tunafurahia uwepo wako hapa duniani na zaidi Jamvini
Hivyo tuna sababu, nia ya dhati na tashwishi ya kuwa nawe leo
Siku hii maalumu kusheherekea siku yako ya kuzaliwa!
Happy Birthday Husninyo,,,,,,tunakutakia mafanikio na maisha mema leo na siku zijazo
View attachment 39153View attachment 39154
(sweetie kama kawaida, yupo busy na mambo ya jikoni atakuja hapa ukumbini muda sio mrefu. Babu ODM, King'asti, Sweetlady, NN, Kloro,Uporoto, Apollo, na The Boss ndo kamati mpango mzima. TF ni mlinzi leo
Orait Orait mipango endelevu inaendelea Husninyo sijui bado kalala
Hepi besdei Husninyo, hau oldi a yuu nao?
Happy Birthday Husninyo..Ubarikiwe sana
Happy Birthday, Husninyo.
Kila la Heri, unapoanza Mwaka Mpya katika Maisha Yako.
a a.....hivi kumbe ndo leo eeh....HAPPY BIRTHDAY....HUSNINYO
Happy Birthday Husninyo..!!!!
"Hope that your day will be as special as you are" ;
Nakutakia mafanikio na furaha katika maisha yako kama unavyowapa furaha wengine.... 🙂
Hello Libra 🙂 have a lovely and enjoyable birthday.
Happy Birthday Husninyo. May you be blessed dear and Enjoy your day!
Kumbe anabagua husn mbona hajawai kunipa na mimi furaha
Happuch... habari yako dear.... najua ratiba yako siku zoote iko tite... But naomba unisaidie walau kuandaa Meza ya Buffet... maana chakula tayari kabisa kwa kuliwa...lol
Happy Birthday Hus
Maisha marefu yanakuhusu na upewe baraka zote za kuishi maisha marefu
Habari yangu njema AshaDii. Yaani usijali kabisa my dear...........meza itakuwa tayari soon. Asante kwa kunipa nami jukumu....🙂
Kwani we malaika mtoa roho ? nani kakupa kazi ya kuhesabu siku za kuishi ?Afadhali,naona na siku zako za kufa zinakalibia.una thamani gani duniani?naongea na wewe husninyo..
huu uchokozi umpakate kama nani ?Ongera thana mtoto toto toto natamani nikupakate nikubebe duh ongerahah toto
dogo naona hujawahi kula kabari namba 14 wewe ?Kumbe anabagua husn mbona hajawai kunipa na mimi furaha
Happuch usipewe majukumu na hali kichwa kimetulia hivo?? Ndio maana nimekupa Sector inayo define sherehe.. ili tukiwa karibu tukifanya kazi tunabadilishana na mawazo mambo ya family... si unajua tena akina mama lazima uwe ngangari....lol
Shukurani kwako Kaizer kwa kuokoa jahazi si unajua jana tulikuwa tunaomboleza kibongo(kaunta ya juu), nimeacha maagizo kuna chupa kubwa ya Grants kaunta kama shukurani zangu,nawashukuru pia Aspirin,Bebii,Preta,V of R,Finest,Aminata,Ashadii na wengine wote mliopita hapa. Kuna watu sijawaona bado labda wako njiani King'asti na shemeji langu Sweetlady.
Husninyo i wish you a happy birthday,good health and lots of happiness(by my side ofcoz lol!)
Ni kweli kabisa dear, ni muhimu sana kubadilishana mawazo, najua sitakosa hekima kutoka kwako ili kuboresha zaidi huku kwangu. Thanks.
Birthday girl mjanja sana usikute amieshaenda viwanja tayariJamani where is my DARLING SHEM... Na nahisi anajizungusha tu hafanyi kazi yoyote... Walau hapa Sweetie yeye kenda kufuata Mahitaji mengine....