Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,746
- 113,205
Jirani sasa nifanyaje nipige hela msimu huu wa sikukuu na ajira hakuna ๐Unatafuta kutisha watoto sasa watapike mapilau yao ya sikukuu ๐๐๐
Jirani sasa nifanyaje nipige hela msimu huu wa sikukuu na ajira hakuna ๐Unatafuta kutisha watoto sasa watapike mapilau yao ya sikukuu ๐๐๐
Uza toy za watoto ss hivi wako likizo jiraniJirani sasa nifanyaje nipige hela msimu huu wa sikukuu na ajira hakuna ๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ule wa mafoto bhana [emoji23][emoji23][emoji23]
Cantry nitampa salam zako, anakuelewa sana mzee wa michano [emoji1787]
jirani mjanja sana haya sema ofisi zenu zinazouza kwa jumla zinapatikana wapi ๐Uza toy za watoto ss hivi wako likizo jirani
Ila Anne ๐๐๐
Ofisi ipi tena? ๐๐๐jirani mjanja sana haya sema ofisi zenu zinazouza kwa jumla zinapatikana wapi ๐
Ya hizo toy za watoto ๐Ofisi ipi tena? ๐๐๐
Jirani muda wa kukusanya maokoto huu baadae ๐๐๐Ya hizo toy za watoto ๐
Mpo open kuanzia mda gan?
Jirani soon tu nachanganya zege na kama ujuavyo huwa halilali ๐Jirani muda wa kukusanya maokoto huu baadae ๐๐๐
Nakujua wewe tutakesha hapa
Dr bingwa wa kutibu vichaa wote walioshindikana ๐๐๐Jamaa kumbe yupo
Alipotea๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dr bingwa wa kutibu vichaa wote walioshindikana [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu alitakiwa apewe tuzo ya heshima, alijua kutukimbizia watu.
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ila rab alinichekesha ile siku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mr Milk supplier
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliendeleza usiku wa Manane๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Ila rab alinichekesha ile siku
Nikikumbuka nachekaga na ile bifu ya kufuta ngunyani mpk tukapewa ban ๐๐๐
Sijui lini tena irudiwe
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ dah!! Rabb born town yul!!Waliendeleza usiku wa Manane
Anasema yeye mtoto wa mjini,hatishwi na washamba kutoka Bukoba
Mboga zetu jamani
Yule mod ana wivu sana
Walifuta hadi picha ya ugali๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ dah!! Rabb born town yul!!
Ila mod siku ile alijua kutufutia picha zetu. Nikaona umetuma pic ya mchezaji wa Liverpool nayo ikafutwa. ๐๐๐
Halafu mi nilipewa ban kisa nikuwa nacheka jaman!! ๐๐๐๐Walifuta hadi picha ya ugali
Yule mod sijui alikuwa na njaa Kali!
Wivu wake tuHalafu mi nilipewa ban kisa nikuwa nacheka jaman!! ๐๐๐๐
Yule mod itakuwa alikuwa mama K