Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
๐๐๐ basi nimeacha bae ๐Hii hapana
๐๐๐ basi nimeacha bae ๐Hii hapana
Hakuna kupumzika, tutapumzika kaburini udugu ๐๐๐Hapana udugu asavali pamepumzika sasahivi!๐
Ngoja kwanza, antonnia ana king Sasa hivi? King gan?๐๐๐๐ ww umewaanzia kuwafunga mdomo na king wako
Treeenaar tukomoshe mama miongozo kila mtu akae kwenye nafasi yake ๐๐๐๐Mieee!!๐คญ๐คญ mbona bado sijaanza lamama nikianza nina hekaheka sio za nchi hiii๐
Yule yule mwenye miongozo yake JF ๐๐๐Ngoja kwanza, antonnia ana king Sasa hivi? King gan?
๐๐๐YaisheWw tena na venye compressor bovu ๐๐๐
Hapana aisee, hilo ukweli simshauriAsavali umemkatalia asikianzishe aseee ๐! Lamomy mumeo kaamuru uache ukorofi ๐
Antonnia naomba samareee, maana sijaelewa kabisaWee kantri usimskize Lamomy anakutania huyoo hata hakuna kitu khaah Lamomy nakugawa buree walai
sahiv nnalo LA kushatooo, babee angu anapo pa kushikaa.
๐๐๐๐ Nakuzoom๐๐๐Yaishe
Hana nyonyo lakini...oya sema kama cocastic hajaolewa nipeni namba zake
Mwaka utafungwa kibabee,hapo chacha, na tuwafungie mwaka wapoteane, shenzy zao



