Jk nae jamani hizi ni aibu huyo nae ni nani?
mbombo ngafu!
Pamoja ya kuwahi kuwa waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa bado anaonekana mshamba tu ....cjui mwanzo alikuaje aisee...Mtu kama yeye mwenye wapigapicture maalum anapigaje picture kama wamekutana tu kwa bahati hivi ?..aaagh anatuaibisha bhana kama aje apunguze ukwere.apo nani kampapalikia mwenzie?