Hapo Mwanzo Palikuwa Na Nini?!...science Vs divinity


...tunapokuja kwenye suala la kama kweli 'roho' ipo, iko wapi, nitawapa/kuwakumbusha mfano wa Organ transplant ambapo wanasayansi waliweza ku transplant kichwa cha nyani mmoja kwenda kwenye kichwa cha nyani mwingine, na kama inavyojulikana jamii ya nyani ina ukaribu sana wa tabia na maumbile na binadamu;





Labda huko zamani hakuna aliyeweza kuamini kuhusu Organ transplant, na kama unaweza tumia kiungo cha mtu baki kwenye mwili wako, jaribu ku imagine mzee ananunua mwili wa kijana kisha wanabadilisha kichwa tu, mzee anaendelea kuishi kama huo mfano wa nyani tulouona.

Swali linakuja, 'roho' ni Ubongo? au hakuna cha roho hapo? au tusubiri mpaka yatapotokea?

Pia kuna plant hybridization na kuunganisha sperm na egg kupata kiumbe ambacho tayari kina uhai. Siri ya roho uhai ni Mungu ndiye anayeijua.
 
Hata mimi naamini hakuna zaidi ya Mungu. Tuamini Mungu tuache vitendo vya ufisadi. Kuna dhambi lakini dhambi ya ufisadi ni summation ya madhambi kama wizi, uongo, uuaji, unafiki, uchoyo (kujipenda mwenyewe kuliko unavyowapenda wengine), uroho, uvivu, tamaa, unyanyasaji, utesaji, ubadhirifu na vyote hivyo. Anayeamini Mungu hawezi fanya usisadi na anayeact anaamini Mungu halafu akafanya ufisadi huyo ni mnafiki na fisadi squared. Unawaibia watu halafu unaenda kuwadanganya na wanakubali uongo wako wanakupigia makofi na wewe unawachekea huku moyoni unawaogopa wasikusogelee kwa vile wananuka jasho!

Hakuna uhusiano kati ya kuamini mungu na kuogopa ufisadi, Mkapa yule pale ni altar boy hakulelewa na familia yake kalelewa na watawa wa Kikatoliki lakini ni fisadi mkubwa.Kwa hiyo ukisema tuamini mungu ili tusiwe mafisadi mbona kina Mkapa wakristo wazuri tu?

Kuna watu hawaamini mungu na wana morals za hali ya juu, na kuna watu hawaamini mungu na ni ashenzi, kuna watu wanaamini mungu na wana morals za hali ya juu, kuna watu wanaamini mungu na mafisadi wa kutupwa.

There is no direct relation whatsoever.
 
Pia kuna plant hybridization na kuunganisha sperm na egg kupata kiumbe ambacho tayari kina uhai. Siri ya roho uhai ni Mungu ndiye anayeijua.

Mbona mungu kashindwa kujitetea katika indictment ya contradiction ya "God's perfect knowledge vs Human freewill"?
 
Mbona mungu kashindwa kujitetea katika indictment ya contradiction ya "God's perfect knowledge vs Human freewill"?

Kwi kwi kwi, jamani Mungu alishawahi kuonekana wapi akishindwa kujitetea? God's perfect knowledge ni kucontrol things which cant be controlled by humans. upepo, bahari, jua, mwezi, nyota, volcano, hewa n.k Jamani Mungu akikasirika mie simo hapa JF hapatakalika jamani (sikutishi but think of the God's perfect knowledge)
 
Hakuna uhusiano kati ya kuamini mungu na kuogopa ufisadi, Mkapa yule pale ni altar boy hakulelewa na familia yake kalelewa na watawa wa Kikatoliki lakini ni fisadi mkubwa.Kwa hiyo ukisema tuamini mungu ili tusiwe mafisadi mbona kina Mkapa wakristo wazuri tu?

Kuna watu hawaamini mungu na wana morals za hali ya juu, na kuna watu hawaamini mungu na ni ashenzi, kuna watu wanaamini mungu na wana morals za hali ya juu, kuna watu wanaamini mungu na mafisadi wa kutupwa.

There is no direct relation whatsoever.

wale mafisadi wanaoenda sehemu za ibada ni mafisadi squared. Gods freewill to people ni kufanya mema, hivyo kila mtu angeamini Mungu na kufanya yale Mungu ameamrisha kufanya ufisadi usingekuwepo na dunia kungekuwa the best place to be.
 
wale mafisadi wanaoenda sehemu za ibada ni mafisadi squared. Gods freewill to people ni kufanya mema, hivyo kila mtu angeamini Mungu na kufanya yale Mungu ameamrisha kufanya ufisadi usingekuwepo na dunia kungekuwa the best place to be.


Najua unaamini mungu, je unajua?
 
wale mafisadi wanaoenda sehemu za ibada ni mafisadi squared. Gods freewill to people ni kufanya mema, hivyo kila mtu angeamini Mungu na kufanya yale Mungu ameamrisha kufanya ufisadi usingekuwepo na dunia kungekuwa the best place to be.
Shetani yupo jamani na ndiye Baba wa huu ulimwengu hivyo hakuwezi kukosekana mafisadi!any way wote tumetenda dhambi!hakuna aliye safi
 

nahisi akili yangu ishaanza kugeuka zege, all mixed up and starting to set! hapa ndio kwanza tatu na nusu, ngoja nizime computer nipate kupumzisha akili, hii addiction ya mdahalo wa JF ukiyendekeza sana ndio mwanzo wa kupata nightmares!

Alamsiki!
 
Joh 1:1 ?In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.

2 The same was in the b
3 All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.

4 In him was life; and the life was the light of men.

5 ?And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not.
 
...God's perfect knowledge ni kucontrol things which cant be controlled by humans. upepo, bahari, jua, mwezi, nyota, volcano, hewa n.k Jamani Mungu akikasirika mie simo hapa JF hapatakalika jamani (sikutishi but think of the God's perfect knowledge)

...mama nilidhani hayo mambo yanategemeana na mzunguko mwezi (moon) kwa dunia pamoja na sayari nyingine kuzunguka jua!? au???

aah, nishaaga mie,... nawaachia ukumbi.
 
Joh 1:1 ?In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.

2 The same was in the b
3 All things were made by him; and without him was not any thing made that was made.

4 In him was life; and the life was the light of men.

5 ?And the light shineth in darkness; and the darkness comprehended it not.

Hapo umeonyesha unacho kiamini. Lakini sio uthibitisho. Huwezi kuthibitisha unacho dai unakijua kwa kurudia kutuambia kitu hicho hicho tunacho kuuliza unakijuaje. Ni hoja mviringo!
 
Sijauliza kama unajua kama unaamini, najua unaamini mungu yupo.

Nakuuliza unajua kama mungu yupo?

sijui naamini Mungu yupo tu, mimi sijui Mungu ndio anajua kila kitu hapa duniani, ni kama vile server adminnistration. Huwezi kuuliza vifaa vilivyodhani ya server kama vinamjua administrator, vyenyewe vinachotaka kujua ni kufanya kazi .
 

...mama nilidhani hayo mambo yanategemeana na mzunguko mwezi (moon) kwa dunia pamoja na sayari nyingine kuzunguka jua!? au???

aah, nishaaga mie,... nawaachia ukumbi.

mwezi nao mzunguko wake unakuwa controlled na nani kama si Mungu. Mungu yupo.
 
...sijui naamini Mungu yupo tu, mimi sijui Mungu ndio anajua kila kitu hapa duniani...

Nadhani hiki ndicho tulikuwa tunatatanishana, na nadhani huu ndio mwisho wa mjadala mpaka hapo Mungu atakapo jitetea tena na hoja nyingine kutoka kwa watumishi wake.
 
Nadhani hiki ndicho tulikuwa tunatatanishana, na nadhani huu ndio mwisho wa mjadala mpaka hapo Mungu atakapo jitetea tena kupitia watumishi wake.

Mungu yupo na hana cha kujitetea. Tuamini Mungu na tufanye mambo mema kama alivyotuamrisha Mungu. Namwamini Mungu yupo na sina haja ya kuhoji uwepo wake kwa dalili zote zilizopo duniani kuashiria uwezo wake.

Kam huamini Mungu huwezi kuamini hata sayansi.
 
Back
Top Bottom