Hapa Sijamuelewa Lukuvi

kibogo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
9,739
4,732
Pinda atembelea eneo la tukio
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika eneo hilo saa 3:41 asubuhi, kujionea hali ilivyo, lakini hakutoa tamko lolote. “Sina la kusema,” alisema Waziri Mkuu alipoulizwa na waandishi wa habari kutoa kauli ya serikali kuhusiana na tukio hilo.

Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi aliyefuatana na Pinda, alisikika akimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha mchora ramani wa jengo hilo naye anatiwa nguvuni kwa kuwa jengo hilo lilikuwa la ghorofa 10, lakini likajengwa hadi 16. Mtu mwingine ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kukamatwa ni Mhandisi Mshauri.

Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara.

Hoja yangu inasimama hapo kwenye RED jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.

Taarifa hii ipo kwenye Gazeti la Mwananchi la leo.

 
Pinda atembelea eneo la tukio
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika eneo hilo saa 3:41 asubuhi, kujionea hali ilivyo, lakini hakutoa tamko lolote. “Sina la kusema,” alisema Waziri Mkuu alipoulizwa na waandishi wa habari kutoa kauli ya serikali kuhusiana na tukio hilo.

Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi aliyefuatana na Pinda, alisikika akimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha mchora ramani wa jengo hilo naye anatiwa nguvuni kwa kuwa jengo hilo lilikuwa la ghorofa 10, lakini likajengwa hadi 16. Mtu mwingine ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kukamatwa ni Mhandisi Mshauri.

Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara.

Hoja yangu inasimama hapo kwenye RED jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.

Taarifa hii ipo kwenye Gazeti la Mwananchi la leo.


hajawahi kueleweka huyo
 
Tunamfahamu ni mdandiaji. Anaagiza yeye kama nani? Mkubwa wake 'Pinda' ametulia, yeye anakuwa na kiherehere cha nini?
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano


Mbona unakurupuka ex-mgambo?? Libomolewe kwa sababu zipi??
 
Pinda atembelea eneo la tukio
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika eneo hilo saa 3:41 asubuhi, kujionea hali ilivyo, lakini hakutoa tamko lolote. “Sina la kusema,” alisema Waziri Mkuu alipoulizwa na waandishi wa habari kutoa kauli ya serikali kuhusiana na tukio hilo.

Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi aliyefuatana na Pinda, alisikika akimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha mchora ramani wa jengo hilo naye anatiwa nguvuni kwa kuwa jengo hilo lilikuwa la ghorofa 10, lakini likajengwa hadi 16. Mtu mwingine ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kukamatwa ni Mhandisi Mshauri.

Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara.

Hoja yangu inasimama hapo kwenye RED jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.


Taarifa hii ipo kwenye Gazeti la Mwananchi la leo.


Sasa hapo usichomwelewa Mh. Lukuvi ni nn, NA, ni leo tu au pia siku zengine huwa humwelewi
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Wewe jamaa Hamnazo kabisa. Hao viongozi wanao tuibia kutwa kucha ndo wasimamiaji wa maslahi ya taifa? Halafu naona akili zako haziko sawa. Kwani mtu kuwa DJ ni kesi? achaga dharau ndugu.
 
Du! kila mtu anatoa matamko yake ili mradi anaongea mbele ya kamera na kalamu za waandishi wa habari.

wewe unatatizo tena tatizo lako ni kubwa sana, nafikiri kunakitu umearibu apo ulaya unachotegemea ujipendekeze kwa magamba ili yakuonee huruma, yani unandikaga kama unatumia akili za wazoa takataka za mjini,.

Huna aibu wala kinyaa na unayoandika nahisi unapata kichefuchefu ila unandika tu kwa sababu huna jinsi,.

Badirika bro walikuepo wakina willy malecela apa janvini wako wapi wameropoka hadi wameishiwa ya kuropoka
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Lukosi, umesahau kuwa leo ni sikukuu ya wajinga? Ukiota moto wa mjinga lazima utautafutia kuni!!!!!
 
hajawahi kueleweka huyo

ng'wanangwa,kama utakumbuka huyu jamaa lukuvi alitajwa na kaneirugaba msemakweli kama FISADI WA ELIMU.AKIJIITA MTU ALIYEBOBEA KWENYE SIASA ZA KIDIPLOMACY ZA KINATAIFA,WAKATI YEYE NI MWALIMU WA UPE,PALE TABORA, NA ALIWAHI KWENDA URUSI KWA MIEZI MICHACHE KWA AJILI YA MAMBO YA SIASA ,NA KUHUDHURIA MAFUNZO YA USALAMA WA TAIFA PALE IRINGA KWA SIKU CHACHE KWISHAAAAA.HAJAWAHI KUKANUSHA.SOMA TOLEO LA KWANZA LA MSEMA KWELI PAGE 1-3
 
Gorofa la pembeni lilipata ufa
Lakini kitu cha ajabu ni kwamba yeye hana taaluma hiyo ya ukandarasi hivyo hawezi kuongea chochote heri angeongea Mh.mbatia
Nahisi anatafuta kuonekana tu kwenye vyombo vya habari........HIZI NI SIFA ZA KIJINGA huyu mwalimu lukuvi anazitafuta
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Mkuuu, Plz,

Sio kila kitu ni kupinga tuuuu basi huyo bwana kauliza na kaitaja hoja yake, na alipenda kujua Ndg Lukuvi alishukuwa vigezo gani kuamulu jengo jingine likavunjwe Kitaaaalam kama Waziri alipaswa kuja na majibu ya kitaalamu kujega hoja yake na sio kuja kwa TV na au kuita press Conference na kutoa order jamani tushindane kwa hoja kiumakinifu tusi kurupuke tuuu.


 
Maswali ya kijingaNa ukiisha pata jibu itakusaidia nini?Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Wewe Chris Lukosi kwa ujinga huu unaofanya humu jf kukashifu viongozi wa upinzani hata pale panapokuwa hakuna umuhimu wa kufanya hivyo nakushauri utumie fake id kwani wengi huku iringa tuna hasira na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa
maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj
wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu
kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Ningeshangaa usingewataja hawa jamaa kwenye post yako.
 
Back
Top Bottom