MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Badala ya kumuuliza Chris Lukosi ana maana gani anaposema Dj na Dr, badala yake, baadhi ya watu wanaanza kumlisha maneno na kumshambulia bila hata ya kufahamu maana ya bandiko lake.
Kama ilivyo kwa mleta mada, hata baadhi ya wachangiaji nao wanaonesha tatizo lile lile lililomtatiza mleta mada. FAUX PAS
Kama ilivyo kwa mleta mada, hata baadhi ya wachangiaji nao wanaonesha tatizo lile lile lililomtatiza mleta mada. FAUX PAS
Last edited by a moderator: