Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Hivi kumbe nimetukana mtu hapa?lukosi najaribu kudhibitisha kile nilichokiona kwenye uzi mmoja mwana ccm akikumwagia sifa kwa kazi kwa kazi unayofanya.nikushauri ogopa sana mtu unayemtukana yeye akujibu.wakati mwingine cyo lazima umtusi mtu ili upate umaarufu.huliyowatusi hapo(slaa na mbowe)hawana uhusiano na andiko ulilochangia.
Busara za wahenga zinatufundisha kuwa usimdharau wala kumtenda vibaya maana hakuna aijuaye kesho tafakari kisha chukua hatua.
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Pinda atembelea eneo la tukio
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika eneo hilo saa 3:41 asubuhi, kujionea hali ilivyo, lakini hakutoa tamko lolote. Sina la kusema, alisema Waziri Mkuu alipoulizwa na waandishi wa habari kutoa kauli ya serikali kuhusiana na tukio hilo.
Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi aliyefuatana na Pinda, alisikika akimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha mchora ramani wa jengo hilo naye anatiwa nguvuni kwa kuwa jengo hilo lilikuwa la ghorofa 10, lakini likajengwa hadi 16. Mtu mwingine ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kukamatwa ni Mhandisi Mshauri.
Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara.
Hoja yangu inasimama hapo kwenye RED jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.
Taarifa hii ipo kwenye Gazeti la Mwananchi la leo.
Duh! ama kweli majungu hayajengi.Hapa sijui na ''wewe uanzishe thread yako ya nondo chakavu''.jiulize waliofika ata zaidi ya mara 3 wamesaidia nini kaka,unajua chanzo cha maghorofa kuanguka?ni nondo chakavu kaka.rafiki wa JK huyo patel ndio mmiliki wa kiwanda cha chuma
vumbi la maboksi unayobeba huko limeingia hadi kwenye ubongo wako na kukufanya ushindwe kufikiri vizuri. thats why unaropoka tu.p
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Mbona unakurupuka ex-mgambo?? Libomolewe kwa sababu zipi??
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Gorofa la pembeni lilipata ufa
Lakini kitu cha ajabu ni kwamba yeye hana taaluma hiyo ya ukandarasi hivyo hawezi kuongea chochote heri angeongea Mh.mbatia
Nahisi anatafuta kuonekana tu kwenye vyombo vya habari........HIZI NI SIFA ZA KIJINGA huyu mwalimu lukuvi anazitafuta
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa
maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj
wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu
kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
Hatupaswi kumshutumu kwa tamko hilo, huenda anaweza akawa anajua kilichoendelea na anataka kuokoa fedha za watanzania kwa kuunda kamati
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
SOMA TOLEO LA KWANZA LA MSEMA KWELI PAGE 1-3
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano