Hapa Sijamuelewa Lukuvi

Hapa Sijamuelewa Lukuvi

jiulize waliofika ata zaidi ya mara 3 wamesaidia nini kaka,unajua chanzo cha maghorofa kuanguka?ni nondo chakavu kaka.rafiki wa JK huyo patel ndio mmiliki wa kiwanda cha chuma
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Aisee..wewe ukikaa,ukilala,ukiamka unawaza viongozi wa CHADEMA tuu..
Hapa mtoa sredi anataka kujua kujiridhisha kuwa Lukuvi ametumia sababu za Kitaalamu au ni hofu kwa kuwa Injinia ni yule yule....ni Kama meli ya Bakhresa ipate ajali basi upige marufuki meli zote za Azam kusafiri...
Sasa sijaona connection hapa na CHADEMA mpaka uwataje viongozi wake na kumchagulia mwanzisha mada chama kutokana na hisia zako!
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

lukosi najaribu kudhibitisha kile nilichokiona kwenye uzi mmoja mwana ccm akikumwagia sifa kwa kazi kwa kazi unayofanya.nikushauri ogopa sana mtu unayemtukana yeye akujibu.wakati mwingine cyo lazima umtusi mtu ili upate umaarufu.huliyowatusi hapo(slaa na mbowe)hawana uhusiano na andiko ulilochangia.
Busara za wahenga zinatufundisha kuwa usimdharau wala kumtenda vibaya maana hakuna aijuaye kesho tafakari kisha chukua hatua.
 
lukosi najaribu kudhibitisha kile nilichokiona kwenye uzi mmoja mwana ccm akikumwagia sifa kwa kazi kwa kazi unayofanya.nikushauri ogopa sana mtu unayemtukana yeye akujibu.wakati mwingine cyo lazima umtusi mtu ili upate umaarufu.huliyowatusi hapo(slaa na mbowe)hawana uhusiano na andiko ulilochangia.
Busara za wahenga zinatufundisha kuwa usimdharau wala kumtenda vibaya maana hakuna aijuaye kesho tafakari kisha chukua hatua.
Hivi kumbe nimetukana mtu hapa?
Nimetaja jina la mtu?
Usipende kujikomba namna hii
Wangoni hawako hivyo
 
kuna sehemu mtoa mada kajiita yeye ni mpinzani????
kukaa kote ulaya bado hujafunguka akili tu
umeshindwa kuelewa alichoandika ufahamu wako una mashaka...
Hata hivo Mchora ramani anahusikaje katika hili janga
labda LUkuvi atupe ufafanuzi hapa?
na lazima kuwe na ushauri wa kitaalamu kama majengo jirani yabomolewe na sio kukurupuka tu kisiasa
yeye anatoa vipimo, kujenga ni kampuni nyingine nk.


Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
 
Mtikisiko uliotokea baada ya jengo hilo kuanguka,umesababisha nyufa kwenye jengo lingine la ghorofa 15, na bahati mbaya zaidi mkandarasi ni huyo huyo.Upo hapo?
Pinda atembelea eneo la tukio
Waziri Mkuu Mizengo Pinda alifika eneo hilo saa 3:41 asubuhi, kujionea hali ilivyo, lakini hakutoa tamko lolote. “Sina la kusema,” alisema Waziri Mkuu alipoulizwa na waandishi wa habari kutoa kauli ya serikali kuhusiana na tukio hilo.

Hata hivyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi aliyefuatana na Pinda, alisikika akimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha mchora ramani wa jengo hilo naye anatiwa nguvuni kwa kuwa jengo hilo lilikuwa la ghorofa 10, lakini likajengwa hadi 16. Mtu mwingine ambaye anatafutwa na jeshi la polisi kukamatwa ni Mhandisi Mshauri.

Lukuvi alimwagiza Kova kuwa watu waliokuwa karibu na jengo jingine la ghorofa 15 lililojengwa na mkandarasi huyo, kuhama mara moja na ubomoaji ufanyike bila kuleta madhara.

Hoja yangu inasimama hapo kwenye RED jengo hilo ameamua libomolewe ni kwa sababu limejengwa na huyo mkandarasi au kuna sababu zingine za kitaalamu zilizoainishwa? nina mashaka na tamko hili kama limezingatia utendaji unaofuata sheria na taratibu.

Taarifa hii ipo kwenye Gazeti la Mwananchi la leo.

 
jiulize waliofika ata zaidi ya mara 3 wamesaidia nini kaka,unajua chanzo cha maghorofa kuanguka?ni nondo chakavu kaka.rafiki wa JK huyo patel ndio mmiliki wa kiwanda cha chuma
Duh! ama kweli majungu hayajengi.Hapa sijui na ''wewe uanzishe thread yako ya nondo chakavu''.
 
Kwa majibu haya, muda si mrefu utakichafua zaidi chama chetu cha mapinduzi.Sijui uhamie UDP ili uwe afisa habari wa chama hicho ili na chenyewe kianze kusikika.
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
 
Ukiona hivyo uje ni kiwewe wanaogopa CDM. maana hawajui ni kipi watasema, in short wanataka kuonekana wanafanya kazi
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Ni ushauri mzuri, Tunasubiri Utekelezaji. Tz hatuna shida na matamko na maagizo shida ni utekelezaji
 
Mbona unakurupuka ex-mgambo?? Libomolewe kwa sababu zipi??

Hatupaswi kumshutumu kwa tamko hilo, huenda anaweza akawa anajua kilichoendelea na anataka kuokoa fedha za watanzania kwa kuunda kamati
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Mkuu kama busara zimekuishia jaribu hata kuazima za chura. kwani mleta uzi ameleta hoja kwa kufuata itikadi za vyama? tujadili mada na sio watu ambao hawahusiki. umeanza kuwa le mutuz, kama vipi hamia facebook ndo kuan watu wa aina yako.
Kwani jengo lilijengwa na CDM? hata hivyo kama unahitaji kuingiza siasa ni bora ukaenda lumumba maana hilo jengo lililodondoka lina mkono wa diwani wa CCM
 
Gorofa la pembeni lilipata ufa
Lakini kitu cha ajabu ni kwamba yeye hana taaluma hiyo ya ukandarasi hivyo hawezi kuongea chochote heri angeongea Mh.mbatia
Nahisi anatafuta kuonekana tu kwenye vyombo vya habari........HIZI NI SIFA ZA KIJINGA huyu mwalimu lukuvi anazitafuta

Kwa hiyo ungependa Mbatia atoe amri ya kubomolewa?
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa
maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj
wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu
kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Si unawajua viongozi wa siasa za matukio! sasa eti wako bize wanakusanya data za ajali ili waitishe maandamano makubwa!
 
Hatupaswi kumshutumu kwa tamko hilo, huenda anaweza akawa anajua kilichoendelea na anataka kuokoa fedha za watanzania kwa kuunda kamati

Ndugu yangu mmoja aliwahi kusema tatizo la wanasiasa wa Tanzania ni kujifanya wanajua kila kitu.. Am not questioning his motives, ninachotaka kujua ni nani amesema hilo jengo si salama?? Ni wahandisi gani waliofanya uchunguzi wa kisayansi na kusema hilo jengo sio salama kwa watu kutumia??
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Zaman nilikuwa nakuheshim lakn siku iz heshima yako imeshuk sana. Anywah hata hivo Lukuvi ni waziri ofis ya WAZIRI MKUU, sio OFISI YA RAIS.
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Ndugu yangu unaoneka kichwa box au wewe ni gazeti.Hoja ya lukuvi na wapizani ina husu nn mbona mbatia amekuwepo siku zote za kuokoa si mpinzani huyo?Pia sual la kubomoa ni la kitaaluma, je lukuvi malekezo ya kitaaluma ya ujezi kwa wakati ule aliyapata wapi?mpka hapa hatujui taalauma yake zaidi ya uana siasa uchwara wa kisomo kidogo kama chako cha upolisi pori.Punguza umbeya na unafiki kwa mausuala ya kitaaluma, tuwaachie wanataalauma watuelekeze na si maelekezo ya hisia ya kianasiasa kama kichwa box mwenzako lukuvi.
 
Ukitaka kufuatilia matamko na maelezo ya wanasiasa wa Tanzania (CCM, CHADEMA, CUF, NCCR-Mageuzi, UDP. nk) unaweza ukaugua kichwa kwa kufikiria zaidi.

Wanasiasa wa Tanzania wako mahili katika gaffe and breach of etiquette.
 
Back
Top Bottom