Hapa Sijamuelewa Lukuvi

Hapa Sijamuelewa Lukuvi

Kwanza hakutakiwa kusema chochote kwasababu bosi wake hakutoa kauli yoyote pale unless awe alimtuma vinginevyo ni utovu wa nidhamu na ulevi wa madaraka. Hii ni tabia ya serikali dhaifu kila mtu anatenda ki vyake hakuna uwajibikaji wa pamoja. Ukifuatilia sakata hilo utasikia RC ana maagizo yake, Lukuvi naye kaja na yake, maelekezo ya Jk ni tofauti na haya ya Lukuvi na Kova naye atakuwa na yake, basi mradi tu kila mtu anataka kuonesha kuwa yuko. Ukienda kwa Sitta naye utakuta anaishutumu serikali ambayo naye yumo ndani yake kiasi kwamba unaweza kudhani yupo serikali nyingine.
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

daaa wajinga wengi dunia hii duuu!
 
Ni kweli wao ndio watoa maagizo bila kuzingatia utaalam, matokeo ni hayo magorofa kuanguka kama vichuguu vya mchwa. Kila kazi ina utaalam wake kuwa waziri baada ya kujipendekeza kwa baba mwenye nyumba haina maana umeshakuwa mweledi wa kila kitu. Tangu lini Lukuvi kawa mhandisi? Hii ndio shida ya magamba na vibaraka wake kila kitu wanataka wapongezwe.
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

naomba niandike kwa herufi kubwa ili nisomeke vizuri;

NDUGU WA JF, KWA JINSI NAVYOLIELEWA JUKWAA HILI NI KWA AJIRI YA WATU MAKINI NA WENYE MITAZAMO CHANYA. PIA NI KWA WATU HODARI WA KUFIKIRIA NA KUJIBU HOJA ZENYE UJUMBE UNAWEZA KUONGEZA HATA UFAHAMU KWA WATU WENGINE. LAKINI SIKUJUA KUWA KUNA WATU WANAPOTEZA MUDA WAO KUJA HUMU KWA AJIRI YA UBISHI HATA USIO NA MAANA HATA KIDOGO. HIVI HUYU JAMAA ''CHRIS LUKOSI'' NI AKILI ZAKE ZINAMTUMA KUANDIKA UBISHI KAMA HUU AU ? AAAGHHHH, NAHISI MPAKA KUTAPIKA.
 
Shule ni muhimu wakuu. Fatilieni CV ya huyu mkuu.
 
naomba niandike kwa herufi kubwa ili nisomeke vizuri;

NDUGU WA JF, KWA JINSI NAVYOLIELEWA JUKWAA HILI NI KWA AJIRI YA WATU MAKINI NA WENYE MITAZAMO CHANYA. PIA NI KWA WATU HODARI WA KUFIKIRIA NA KUJIBU HOJA ZENYE UJUMBE UNAWEZA KUONGEZA HATA UFAHAMU KWA WATU WENGINE. LAKINI SIKUJUA KUWA KUNA WATU WANAPOTEZA MUDA WAO KUJA HUMU KWA AJIRI YA UBISHI HATA USIO NA MAANA HATA KIDOGO. HIVI HUYU JAMAA ''CHRIS LUKOSI'' NI AKILI ZAKE ZINAMTUMA KUANDIKA UBISHI KAMA HUU AU ? AAAGHHHH, NAHISI MPAKA KUTAPIKA.

hv mkuu wewe unaona miccm inaakili?
 
daaa wajinga wengi dunia hii duuu!
Mkuu, wakati watu wanamshangaa William Malecela, walifikiri hakuna kibuyu kama yeye kwenye siasa za CCM.
Kumbe watu walikuwa wamekosea....huyu jamaa ni kichwa mchuzi kabisa.
 
Mkuu, wakati watu wanamshangaa William Malecela, walifikiri hakuna kibuyu kama yeye kwenye siasa za CCM.
Kumbe watu walikuwa wamekosea....huyu jamaa ni kichwa mchuzi kabisa.

bora ya malecela alipokuwa baharia alikuwa anaakili tatizo alipokuja huku na kuchakachuliwa akili zake kwa kuutaka ubunge!
HV huyu jamaa alikuwa CHADEMA? naanza kuwa na wasiwasi hata na CHADEMA iangalie wanachama wenye njaa na wajinga kama huyu piga chini.
 
bora ya malecela alipokuwa baharia alikuwa anaakili tatizo alipokuja huku na kuchakachuliwa akili zake kwa kuutaka ubunge!
HV huyu jamaa alikuwa CHADEMA? naanza kuwa na wasiwasi hata na CHADEMA iangalie wanachama wenye njaa na wajinga kama huyu piga chini.
Mkuu, huyu jamaa alikuwa CHADEMA, kwa mujibu wa Post moja ya Dr. Slaa, anasema last year jamaa alikuja bongo, akamtafuta Dr ili waongee mambo mbalimbali ya Chama. Alimueleza Dr. Slaa kwamba kuna tender anaitafuta serikalini lakini wanamsumbua sana, na inaonekana hawataki kumpa japo ame-qualify. Dr akamwambia wewe fuatilia, kama wakitaka kukunyima kwa uonevu na bila kufuata taratibu utueleze tulipigie kelele. Alimueleza pia kwamba awe makini wasije wakamuingiza mkenge.

Basi jamaa akaenda kufuatilia, inaonekana akanunuliwa, watu wakafika bei, jamaa akarudi zake London bila kumuaga Dr kama walivyokubaliana. alivyofika London akatangaza kujivua uanachama na uanza kuishamblia CHADEMA. hapo ni baada ya kupata tender aliyokuwa anaitafuta. Ni wazi amepewa kwa masharti ya kuondoka CHADEMA na kukishambulia.


That's how stupid and cheap this Lukosi guy is.
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Huwa nakupuuza, ila sikuwahi kuwaza kuwa ni mjinga kiasi kikubwa namna hii.
 
Sasa wewe unaonyesha ulofa wako waziwazi...Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais yupi.....inaelekea ukameroni umekuaribu...!!!


Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano
 
Leo ndio nimeamini Huyu jamaa uwezo wake ni mdogo, badala ya kusoma au kutaja kifungu ambacho kinazuia bunge kujadili issue za usalama wa taifa, yeye amemchomekea naibu spika na kusema hivi 'we naibu spika si unayo sheria ya usalama taifa soma kifungu hicho' ikiwa yeye sheria anayo mkononi.
 
Huyu bwana ni mnafiki! Siku zote huwa anatetea hoja za kijinga na kwa kuwa na hicho cheo, spika, naibu spika na wote wanakalia kiti cha spika wanamuogopa. Hadi lini ujinga huu utaendelea?
 
Maswali ya kijinga
Na ukiisha pata jibu itakusaidia nini?
Lukuvi ni waziri wa nchi ofisi ya Rais, na ni jukumu la viongozi kutoa maelekezo nini kifanyike kwa faida ya taifa zima.
Hivi nyie watu kwani upinzani ni kupinga kila kitu? Mbona sijamuona Dj wala Dr akifika huko? . Wao wamekaa majumbani kwao wanaangalia kila kitu kwenye TV tu wanasubiri mambo yakipoa waitishe maandamano

Uturudishie hela zetu za Tawi ulizokula hapa London.Sio unabwatuka tu Ziko wapi hela za tawi letu la CDM?
 
Back
Top Bottom