Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.