drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
Hivi inakuwaje nikijaribu kupekua kurasa nashikwa mkono na kuelekezwa kwenye kipele, najaribu kusugua kipele mara natolewa mkono tena naelekezwa kwenye kurasa sasa mimi nashindwa kuelewa ni wapi hasa mwenzangu anapendelea?
Akina dada/mama naomba msaada kwa hili.
kwa hili msaada utaupata kwa mtu wako yy ndo anajua utamu ulipo so ww fata maelekezo mwisho wa cku mtafika kileleni