Wakati we unaumia hivi,mwenzio hata habari hana! Kwanza hajui hata nguo yake ya ndani km ipo uvunguni au wapi,amejiachia kwenye mwili wa mwanaume km wewe....Acha kujitesa Tafuta pesa.nimefikiria hayo maamuzi ya kumuacha lakini nashindwa najua nitaumia sana
Dogo hacha iyo kitu. Huyo alikuwa mpenzi wako b4 ivi hapo ulipo uoni watu wanavyooishi....chuoni rahaa sana mnaishi kama mke na mume. Kashaolewa huyo na wewe tafuta wakwako hapo ulipo. Ukizingatia na hali ilivyongumu amepata sehemu ya kufikia boom ikikata......!!!mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa morogoro(sua) nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu moshi (mweka) ,lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga had saa 7, sms nkituma hajbu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana, naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Hata hakituma kiasi gani kugongewa atagongewa tu. Kumbuka demu yupo moshi kila wakati baridi na baridi inavyoshawishi kugengeda.....mi nakushauri kama unampenda chukulia pouwa asipo pokea simu au hasipojibu sms usijiumize sana komaa na kitabu ukiwa na ugwadu tafuta wa kukupooza mkuuTuma hela za kutosha kufanya penzi lenu lisife, no one is strong against money and remember women are very weak for money.
Usitume sms, tuma hela atakutumia sms yeye mwenyewe.
Tuma hela za kutosha kufanya penzi lenu lisife, no one is strong against money and remember women are very weak for money.
Usitume sms, tuma hela atakutumia sms yeye mwenyewe.
Kaka Mara mia ukakaa pembeni kuliko kutafuta UKIMWInimefikiria hayo maamuzi ya kumuacha lakini nashindwa najua nitaumia sana
Tuma hela za kutosha kufanya penzi lenu lisife, no one is strong against money and remember women are very weak for money.
Usitume sms, tuma hela atakutumia sms yeye mwenyewe.
Mkuu hakuna mapenzi magumu na ya kuepuka demu kutoliwa kama mnasoma vyuo tofauti.
Hata kama mnasoma chuo kimoja,wachache sana huepuka mademu wao kutoliwa na washkaji. Sembuse wewe ambaye mnasoma mbali hivyo? Demu kapata jamaa anamhonga na kummega vizuri tu.
Cha msingi nawe tafuta wa kumuoshea Rungu lako.
Kwahiyo unasubiri uombwe!!!
Basi kaa usubiri kuombwa.
duuSubiri Shift yako itafika mbona unataka vuruga ratiba ya mwezako
sasa kutoa pesa bila kuombwa si kujipendekeza huku
hongera kumpenda Kwa manenokiukweli nampenda sana
hali inazidi kuwa mbaya ninawakati mgumu sana.