Pale unapokuwa dume suruali lazima vitu kama hivi vitokee
Kama kusoma hujui hata picha huoni?
Jiongeze mkuu wenzio washajipimia.
Km haeleweki mchunie, ukiona hakutafuti achana nae.wanawake mbona wengi.unanshauri vipi hapo mkuu
Mfaate ukouko hasa msimu huu wa sikukuu ukajipme uzito.udume suruali wangu upo wapi hapo?
daa kiukweli yeye hajapata mkopo wala bum na mimi nmepata lakini hana mazoea ya kuniomba pesa
sasa si umsaidie mwenzio hapate walau matumizi madogomadogo si lazima uombwe dogo unatakiwa ujiongeze mwenyewedaa kiukweli yeye hajapata mkopo wala bum na mimi nmepata lakini hana mazoea ya kuniomba pesa
kakuachia manyoya huyo kiongozi
Lishavunjika au unasubiri upewe taarifa, wewe kazana kusoma ukatafute hela utawapa wengi tu.
Kuwa mjinga uendelee kuumia. Hii ndio njia pekee ya kunusuru penzi lenu.
Kweli wewe ndondocha sikia mkuu hapo huna chako kwa Sasa unatakiwa kukocentrate na masomo kwanza pia jaribu kumpotezea huyo mpenz wako jikeep busymimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa morogoro nina mpenzi wangu ambaye naye yupo chuo kikuu moshi (mweka) ,lakini tangu aende chuo nimekua simuelewi kabisa nikipiga simu anasema amechoka wakati zamani alikuwa anapiga had saa 7, sms nkituma hajbu nisipoanza hata anitafuti lakini nampenda sana, naombeni ushauri nifanye nini ili penzi letu lisivunjike?
Unashindwa kuamini?da nashndwa kabsa kuamni