Niko siriazi,ila ID yako inanitisha sana.
hii dunia ya sasa hakuna mapenz braza, temana naye.kiukweli nampenda sana
huyo demu ni mbut achana nae
Naona kaka unasubiri wakati mwepesi,just wait unakuja.amenipa wakati mgumu sana
Kusukuma damu Mkuu!!!mkuu kwani wwe moyo wako unakushuhudia nini
Swali la msingi sana hili kwa mwanachuo, hasa kama humpigishi shoo za kusababisha feni impulizie kuleeeeunampa pesa za kutosha
Nina rafiki yangu ni lecturer pale mweka, nliwahi kumtembelea nikashangaa kwenye intake yao ratio ya wasichana wavulana inavyotofautiana, yaani katika wanafunzi kumi wasichana wawili wavulana nane!!!
Mind you hawa vijana wanatoka kwenye familia wanazoweza kulipa ada in USDs si chini ya elfu 3000!!!
Sipendi kua negative, but mweka is really not a safe place kwa hawa mabinti!!
For your sake, I hope am wrong,SON!!!
Kwahiyo unasubiri uombwe!!!daa kiukweli yeye hajapata mkopo wala bum na mimi nmepata lakini hana mazoea ya kuniomba pesa