Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
unanuka mdomo
Taratibu NN huyu mnuka mdomo ndio mwenye hati miliki ya hii thread be warned lol!
mambo vp Jf,simuelew mpenz wangu jaman,niliachana nae kitambo na tumerudiana hv karibuni,lkn hanipi denda na sababu anasema kuwa huko nyuma mate yangu yalimsababishia vidonda koon hvo dactari alimwambia asitumie demda!hv kwel mate yanazuliana?
hahaha! lmao!
<br />
<br />
ha ha ha aaaaaaaaaaaa.....!!!!!!!!! kwa kutumia jik duKhaaa!! na wewe si upige mswaki vizuri, tena kwa kutmia jik
Nikupe namna ya kufahamu kama unanuka mdomo au la,lamba nyuma ya kiganja chako na paache pakauke kidogo kisha panuse,kama ukihisi harufu yoyote ujue we ni 'NO SMOKING' -hili ni jina vijana wa zamani tulikuwa tunawaita wanuka mdomo.<br /><br />
<br /><br />
snuki mdomo,mdomo wangu naweza kuutunza,thanx anyway!mazuri yote nimeyachuka
Nasikia kuna ugonjwa unaoambukiza kwa njia ya denda (kunyonyana ndimi). Ugonjwa huu unaitwa herpatitis c na b. Kuna wakati mwingine ukitoka kula denda unaweza kusikia maumivu kama ya kujaa gesi tumboni au kichefuchefu. Kunyonyana ndimi sio kitu salama kiafya. Pia wakati mwingine inawezekana una harufu inayomkera mwenzio, harufu hiyo inaweza ikawa inatokana na jino bovu, au aina ya vyakula unavyokula. Ni vizuri kucheki kinywa chako.