Mpenz wangu kaniroga nisitamaniwe wala kushobokewa na mademu

Mpenz wangu kaniroga nisitamaniwe wala kushobokewa na mademu

MANDEVUMENGI

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2018
Posts
1,356
Reaction score
3,626
Wakuu habari zenu...niende moja kwa moja kwenye mada,hapa juzi kati nilimsindikiza rafiki yangu kwa mtaalamu kuna mambo yake ya kibiashara alikuwa ameenda kuweka sawa kwa hawa mashehe wanao_omba dua yaaan wanapiga kisomo,jamaa yeye alikuwa ndani na mm nilikuwa nje baada ya kumaliza mambo yao na shehe akaniita akasema njoo bhana umsalimie shehe basi katika story mbili tatu shehe akawa anasema kuna mteja wake anamuandalia dawa ya kumfungua maana kafungwa kimapenz...sasa kusema ule ukwel mm kwa hawa wataalamu wa tiba za asili sio muendaji kabsa na nikili kabsa cjawah fika kwa mtaalamu wa tiba za asili kupatiwa tiba,ikabidi nihoji kwan mtu alyeifungwa kimapenz anakuwa na dalili gan??..shehe akajibu kwanza mwanaume aliyefungwa kimapenz na mkewe au mpenz kwanza akitongoza hakubaliwi au akikubaliwa basi lazima mbele mipango itavurugika yaan hatoweza kulala na huyo mwanamke...kutokana na maelezo yale moja kwa moja nikahisi kitu coz mm ni mzee wa totoz yaan nina mademu wengi lkn katika miezi mitatu nyuma hii yaan kila nikipiga mashuti kwa totoz mpya naambulia patupu au naweza kubaliwa lkn kula NYAPU inakuwa ishu sana,nikamuelezea shehe nikamwambia hebu anichek na mm kama nimefungwa au laah!...basi akaniuliza jina la huyo mpenz wangu na ubin wake nikamtajia den akachek baada ya mda kidogo akasema nanukuu"bwana mdogo umepigwa pini yaan ww hata utongoze wanawake mia lkn huwez kufanikiwa kuwalala hao wanawake,yaan huyu mwanamke wako kakufunga usitamaniwe na mwanamke yeyote hata uwe na muenekano mzuri vp lkn hakuna mwanamke utayeweza kumtongoza akakubali yaan ww utakuwa unakataliwa tu,au hata ukikubaliwa lkn hutoweza kumlala huyo mwanamke"mwisho wa nukuu"...nikamuambia basi anifanyie tiba kama inawezekana kufungua hcho kifungo niwe huru..akanifanyia tiba flani ya kuongea maneno flani na kuna dawa akanipaka akasema hapo upo huru na hakunitoza pesa yeyote ile akasema kama ukifanikiwa utaleta kiasi chochote nikachojaaliwa kama sadaka tu.
BAAADA YA KURUDI GETO:
Ile nafika gheto tu nmekaa kama dkk kadhaa hv nikaona cm inaita kuchek kuna mtoto flan hv alikuwa ananipiga chenga balaa lkn leo akapiga cm na wakat hajawah kunipigia cm tangu nichukue namba yake na yapata miez miwil toka namfukuzia,kupokea mtoto ananiuliza "Giancarlo uko wap jaman nmejikuta leo tu nakukumbuka,baada ya maongezi ya dkk tano huwez amini nikakumbushia kuhusu ombi langu mtoto akawa kwenye mstari mpaka sikuamini na kuniahid kesho yake atakuja gheto na kwel huwez amini kesho yake alifika gheto na akaliwa...yaan kiufupi zile shobo ambazo nilikuwa nashobokewa zaman na mademu zilirud na sio kwamba najisifia bali ndo huwa ipo hvyo kwa upande wangu...ndani ya wk moja nikawa nmekula nyapu za mademu wanne yaan nikawa nmerud kwenye ubora wangu.....Na kuhusu yule mtaalamu wa tiba za asili kwa upande wangu naona hajaniongopea coz matokeo nimeyaona na hakunitoza pesa yoyote labda mm nipeleke kama sadaka tu..Sasa tatizo linakuja kwa huyu mpenz wangu sielewi je nimwambie kuhusu hyo tabia yake aliyoifanya au nikaushe?...Na je kuna mdau yeyote aliyekutana na tatizo kama langu..na mambo kama haya yapo kwel?..maana mm sio mjuzi wa mambo ya nguvu za ushirikina hebu tujuzane wadau...
N.B..Hii sio chai kama chai zenu zingne za hapa jf kama huna la kuchangia ni bora ukae kimya ili wenye mawazo mazuri wakatujuza coz ck hz jf kumeibuka mtindo mtu anatoa duku duku lake au stori yake ili ashauriwe lkn anaambulia kejeli na dharau so its better ukakaa kimya kama huna la kuchangia
 
tangazo zuri sana.
Kwa mawazo yako hayo mkuu siwez kubisha sasa je kama ni tangazo hapo nmetoa namba za cm za huyo mtaalamu?...au nmetoa location alipo?..sometimes watu humu wana matatizo seriously ila kutokana na comment zenu kama hv mtu anaweza akawa na kitu kizur anataka kushare hapa jf lkn akasita coz ya negative comment kama yko
 
mambo hayonyapo mara nyingi dawa tunazotoa huwa tunaangalia na mtu wa kumpa asije sababisha kutushtaki polisi..
kuna dawa moja hata kama unakosa umefanya ukienda mahakamani unashinda..
mademu wanakuwa wanakutongoza wao
kama ulikuaa unachukiwa mpaka kwenu mara nyingi husababishwa na mizimu kuna dawa ipo ya kukfanya upendwe yaani unajitakasa...

mtoa mada kuwa mwangalifu sana akigundua umeitegua dawa yake akienda kwa mganga mwingine mtalamu zaidi atakufanya mashine yako iwe ina simama akiwa na wewe tu.. hivyo ukiwa unafanya kuwa makini sana najua atakua anakupenda sana uyo mkeo ndiyo maaan anataka kuwa pekee yake kuwa na wewe...
jaribu ukae nae muyamalize mwambie alichokifanya sio vizuri mambo mengine ni ya kuka na kuyamaliza..

dawa zipo anaebisha ajakutana na matatizo. apo juu nimejaribu kuongeza maneno nje ya maada yako ila kusudi mwisho hitimisho liwe jema..
kartka mazungumzo utakayofanya na mkeo kuwa makini sana usije muaandalia sababu nan yeye akiwa anachepuja anakuja na sababu hiyo hiyo ulioitumia kumpoza....wanawake akili zao wanazijua wao anaweza kukukomesha kutembea haa na kajamaa ka ajabu..

hata hivyo ukiwa kwenye mawindo yako kula kimya kimya sana ...


jf wanaume tunasaidiana mbinu na ushauri pia katika kuwezesh upatikanaji wa malighafi bora zisumbuazo mtaa
 
Nimesoma nikaishiwa unamuuliza sheikh mtu akifungwa kimapenzi anakuaje? kwa ufupi wewe ni fursa kwa sheikh.
 
Nimesoma nikaishiwa unamuuliza sheikh mtu akifungwa kimapenzi anakuaje? kwa ufupi wewe ni fursa kwa sheikh.
Ikumbukwe kuwa hajanitoza pesa yeyote ile..kasema nikifanikiwa nitachojaaliwa nipeleke so hebu soma vzur thread
 
Dawa ya uchawi wote wa wanawake ni PESA 2 mkuu hakuna kingine,yani umpe demu hela akubanie K!!!
 
Ikumbukwe kuwa hajanitoza pesa yeyote ile..kasema nikifanikiwa nitachojaaliwa nipeleke so hebu soma vzur thread
bwana!!! Wee usinichoshe una id 2 mpigo hiyo id ya Mr Nyau pia yako mmehangaika msg kwenye simu mmefeli mnatuvamia jf, tuacheni jamani huku ni kupendana, kuchepuka, and the like.
 
bwana!!! Wee usinichoshe una id 2 mpigo hiyo id ya Mr Nyau pia yako mmehangaika msg kwenye simu mmefeli mnatuvamia jf, tuacheni jamani huku ni kupendana, kuchepuka, and the like.
Unajua nn huyo mr nyau sijui mr paka huyo yupo kwa ajiili ya matangazo na ndomana cja mquote wala kumjibu chochote...ista mastaa wanapost picha na bado watu wanaweka matangazo sembuse hapa???
 
Inabidi umwambie ..ukimuendekeza unaweza kukufanyia kitu kibaya badae..hata kama ilikuwa ni kwa malengo Mazuri kwa nini akuloge huu ni Ubinafsi
 
bwana!!! Wee usinichoshe una id 2 mpigo hiyo id ya Mr Nyau pia yako mmehangaika msg kwenye simu mmefeli mnatuvamia jf, tuacheni jamani huku ni kupendana, kuchepuka, and the like.
oh amu usinimezeshe maneno wala mi sipo huko wala mi si mganga naongea na kuandika kile nilichoshuhudia sio kila anae comment kuhusiana na mambo haya ni mganga au anatangaza soko..
 
Unajua nn huyo mr nyau sijui mr paka huyo yupo kwa ajiili ya matangazo na ndomana cja mquote wala kumjibu chochote...ista mastaa wanapost picha na bado watu wanaweka matangazo sembuse hapa???

ahaah jamaaa comment angu kumbe ni tangazo? duuh na wewe una amini kabisa ... aisee nimejifunza kitu kupitia thread hii anaetoa mtazamo fulani... amani iwe nawe
 
Back
Top Bottom