Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,021
- 142,919
Jamani nimesoma issue humu very well and clearly. Sasa kwa sisi wengine tuliongia kwenye ndoa kama ma house wife kutoka na mazingira kutokutuwezesha kupata kazi kwa haraka alafu mwenzio hakuonyeshi matumizi ya pesa zinakwendaje, hujui bank account yake, msaada kwa ajili ya matumizi yangu ni hafifu mpaka naenda kutafuta njee etc...je, na mimi nikijapata kazi nimuhandle vipi jamani.
Kwa kweli dear am against kujiexpress but kutokana na nukuhu zako ndo nikamwambia may be it can help to return the man in line again.
Imenibidi ckua na njia nyingine ndugu. Ok hebu nifafanulie kwa ufasaha hiyo nyekundu pengine naweza kubadilisha muelekeo nilokuwa nao kwa sasa.Kwanza, una maana gani unaposema unaenda "kutafuta njee"? Unaenda kukopa kwa marafiki? majirani? ndugu? au unatumia vitega uchumi vyako?
Pili, mimi binafsi ninaamini ktk falsafa ya reciprocity ktk mahusiano baina ya mwanaume na mwanammke. Kwa hiyo basi, kama na wewe ukija kupata kazi na kuanza kupata kipato chako mwenyewe, give him the taste of his own medicine. Simple as that.
Siwezi dear...mpaka izraeli atakaponipitia. Nilishaapa sito rudia tena tena katika maisha yangu. Hata kama anagaiwa nje muache aende, ila kwangu hatopata nilishafunga kufuli.Hehehe vp ulijaribu au ndo hivyo tena unaogopa Penny mama?
Dunia inabadilika na kila kukicha unakumbuna na misuko suko ikienda na kwa style tofauti tofauti vile vile hata radha nazo zinabadilika mama.
duh@ imekuwa hivyo tena eh...niko tayari kuandika manual yaani nikiingia hivi kwenye ndoa tayari kitabu ninacho...what to do and what not to do!!!! ahahahhaaaa.
Siwezi dear...mpaka izraeli atakaponipitia. Nilishaapa sito rudia tena tena katika maisha yangu. Hata kama anagaiwa nje muache aende, ila kwangu hatopata nilishafunga kufuli.
Imenibidi ckua na njia nyingine ndugu. Ok hebu nifafanulie kwa ufasaha hiyo nyekundu pengine naweza kubadilisha muelekeo nilokuwa nao kwa sasa.
Siwezi dear...mpaka izraeli atakaponipitia. Nilishaapa sito rudia tena tena katika maisha yangu. Hata kama anagaiwa nje muache aende, ila kwangu hatopata nilishafunga kufuli.
Nilimuuliza na kumbana kabisa ndugu, ila jibu lilikuwa sielewi hiyo lugha (in one of the scandic countries) ila ilikuwa ni niuongo mimi nimesoma na nina degree ya accounting iweje nisielewe credit and debit. Nilishauriwa na dadangu nimuache tuu nisubiri na mimi nipatapo pesa yangu nifanye kama ulivyonishauri. Asante sana kwa ushauri wako ndug.Well, si umesema yeye hakupi maelezo ya jinsi anavyotumia hela sasa hivi akiwa ndio mleta mkate peke yake? Je kwa nini hayuko muwazi? Umemwuliza na akakupa jibu gani? Sioni sababu yeyote kwa nini asiwe muwazi kuhusu matumizi ya hela hata kama ni yeye tu anayeingiza hela sasa hivi.
Kama hakupi maelezo ya matumizi kwa sababu ya "just because", basi ninachosema mimi na wewe ukipata kazi, usitoe maelezo ya pesa zako zinatumikaje hadi hapo atakapojirudi na kuanza ku share kila kitu bila usiri wala ujeuri wowote.
Nilimuuliza na kumbana kabisa ndugu, ila jibu lilikuwa sielewi hiyo lugha (in one of the scandic countries) ila ilikuwa ni niuongo mimi nimesoma na nina degree ya accounting iweje nisielewe credit and debit. Nilishauriwa na dadangu nimuache tuu nisubiri na mimi nipatapo pesa yangu nifanye kama ulivyonishauri. Asante sana kwa ushauri wako ndugu.Well, si umesema yeye hakupi maelezo ya jinsi anavyotumia hela sasa hivi akiwa ndio mleta mkate peke yake? Je kwa nini hayuko muwazi? Umemwuliza na akakupa jibu gani? Sioni sababu yeyote kwa nini asiwe muwazi kuhusu matumizi ya hela hata kama ni yeye tu anayeingiza hela sasa hivi.
Kama hakupi maelezo ya matumizi kwa sababu ya "just because", basi ninachosema mimi na wewe ukipata kazi, usitoe maelezo ya pesa zako zinatumikaje hadi hapo atakapojirudi na kuanza ku share kila kitu bila usiri wala ujeuri wowote.
Makubwa makubwa...ndo mambo ya nukuhu hizo za JF manual....duh! mambo makubwa haya.
Nilimuuliza na kumbana kabisa ndugu, ila jibu lilikuwa sielewi hiyo lugha (in one of the scandic countries) ila ilikuwa ni niuongo mimi nimesoma na nina degree ya accounting iweje nisielewe credit and debit. Nilishauriwa na dadangu nimuache tuu nisubiri na mimi nipatapo pesa yangu nifanye kama ulivyonishauri. Asante sana kwa ushauri wako ndug.
Inabidi dear, maana tukicheza sana hata ufalme wa mbinguni tutanyimwa kuingia.Swity endelea na msimamo huo huo ukionja utachonga mzinga.
Duh! Pole sana. Yaelekea nyinyi wanawake wa huko Scandinavia mnanyanyaswa sana na waume wenu maana hauko peke yako hapa.....
Pengine wamo, siwezi jua ndugu yangu na ndo ukikuta unasubiria mapapers yani ndo na kukonda wa konda...mda hauendi ili ujiondokezee zako tuu.Duh! Pole sana. Yaelekea nyinyi wanawake wa huko Scandinavia mnanyanyaswa sana na waume wenu maana hauko peke yako hapa.....
ohooo, ha ha ha...haya sasa! 😀
Pengine wamo, siwezi jua ndugu yangu na ndo ukikuta unasubiria mapapers yani ndo na kukonda wa konda...mda hauendi ili ujiondokezee zako tuu.
Haswaa, wee muache cku na yeye yakimkuta cutamkuta akidonodonoa keyboard yake kuomba ushauri hapa. Then wewe ndugu nakufananisha na kaka mmoja tulikuakaribu sana Tanzania miaka ya 2000-2001. Nakuja chumbani kwako sasa hivi nikuulize kwa undani.Mchochezi weye.....
Haswaa, wee muache cku na yeye yakimkuta cutamkuta akidonodonoa keyboard yake kuomba ushauri hapa. Then wewe ndugu nakufananisha na kaka mmoja tulikuakaribu sana Tanzania miaka ya 2000-2001. Nakuja chumbani kwako sasa hivi nikuulize kwa undani.
Pole sana....kwa nini usije kutembea kwa Obama ujiliwaze kidogo....
Jamani yamekuwa hayo tena huyo yoyoyoyo ndo nani tena!Oh yeah, you too sound very very familiar....haya ingia tukutane chemba.
NB: Yo Yo jinyonge au meza klorokwini....