Hana nywele

Hana nywele

amiride

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
200
Reaction score
37
Jmani me nauliza tu hivi huyu spika wetu hana nywele au ni fashion ya wigi sielewi
 
Hata mimi tokea nimeanza kumjua huyu mama yuko na hilo WIGI tu!
 
Ana nywele tena nzuri mno fyi.

Moja - Uzuri wa wigi inapunguza muda mwingi wa kutengeneza nywele.Wadhifa alio nao hana muda wa kupoteza salon masaa 2-4 kisa kutengeneza nywele.
Pili ni fasheni tu -
Tatu - siku hizi wanawake wanapenda kupumzisha nywele zao kwa madawa na kusuka nako kuna adha yake.
 
Ana nywele tena nzuri mno fyi.

Moja - Uzuri wa wigi inapunguza muda mwingi wa kutengeneza nywele.Wadhifa alio nao hana muda wa kupoteza salon masaa 2-4 kisa kutengeneza nywele.
Pili ni fasheni tu -
Tatu - siku hizi wanawake wanapenda kupumzisha nywele zao kwa madawa na kusuka nako kuna adha yake.
Ni sawa uliyoeleza kama ni wadhifa sidhani kama wigi linapendeza mbona mama anna mkapa alikuwa na nywele zake nzuri tu na alikua natural basi hata siku moja haliondoi na nina wasiwasi analala nalo
 
Halafu nashangaa....hivi JF kazi yake ni kukosoa mambo yenye kuwa na maendeleo kwa Watanzania au ni kujadili sura na urembo, wa watu?
Kwani mlisikia uspeaker ni u Miss/Mr Tanzania? Ndio maana wengine mkiambiwa chagueni viongozi wa kuwaongozeni kwenye maendeleo na neema mnapoteza mwelekeo na kuangalia sura, nywele, makalio nk......

Kuna aliyekamilika idara zote?Nyie mnaomkosoa binadamu mwenzenu na nyie mkichambuliwa labda kasoro zitajaa kwenye kiroba!
Ebu tuacheni mambo haya.
 
Halafu nashangaa....hivi JF kazi yake ni kukosoa mambo yenye kuwa na maendeleo kwa Watanzania au ni kujadili sura na urembo, wa watu?
Kwani mlisikia uspeaker ni u Miss/Mr Tanzania? Ndio maana wengine mkiambiwa chagueni viongozi wa kuwaongozeni kwenye maendeleo na neema mnapoteza mwelekeo na kuangalia sura, nywele, makalio nk......

Kuna aliyekamilika idara zote?Nyie mnaomkosoa binadamu mwenzenu na nyie mkichambuliwa labda kasoro zitajaa kwenye kiroba!
Ebu tuacheni mambo haya.
hatumkosoi kama binadamu tunamkosoa kwa mambo yake kina chifupa alitolewa mjengoni kisa ni nguo sio ustaarabu kavaa hayo mawigi tunachotaka atukuze uhalisia wa mtanzania.hatukumsema sura wala umbo hapo ndo kumkosea binadamu. na kweli siku likinuka hapo mjengoni litavuka na tuatapata ukweli.mbona we umesuka na umependeza kwa nn usivae wigi
 
Ana nywele tena nzuri mno fyi.

Moja - Uzuri wa wigi inapunguza muda mwingi wa kutengeneza nywele.Wadhifa alio nao hana muda wa kupoteza salon masaa 2-4 kisa kutengeneza nywele.
Pili ni fasheni tu -
Tatu - siku hizi wanawake wanapenda kupumzisha nywele zao kwa madawa na kusuka nako kuna adha yake.

Hata kama anapenda kupunzisha nywele zake lakini hana style nyingine yakuvaa hilo Wigi zaidi ya tokea utawala wa baba wa taifa style ni hiyohiyo? nina wasiwasi!
 
Jamani ebu muacheni kama wigi lake na alalenao sidhani kama linamuhusu mtu, kazi yake ndio muiongele sio wigi lake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom