Hamisi Kigwangalla juu ya Boda Boda Arusha!

Hamisi Kigwangalla juu ya Boda Boda Arusha!

-Kuwa karibu na wananchi kivipi?Yeye ni mwakilishi wa wananchi lakini inaonekana anawakilisha wavunja sheria za barabarani na wahalifu.Hapa anastahili kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja

-Pia hoja ya kuwa karibu na wananchi kutafuta ATM kwa kupanda Bodaboda mjini ni kutafuta cheap popularity na ku-expose fikra zilizochusha na kwa kuwa huyu ni msomi mwenye MBA anajua umuhimu wa huduma ya kibenki vijijini.Sasa kule Nzega ameshapigana kwa kiasi gani kuhakikisha huduma hiyo inawafikia wananchi vijijini?

-Nilidhani hiyo ndiyo inge-reflect ukaribu wake kwa wananchi kuliko jitihada hizi anazofanya mjini za kuvunja sheria za usalama barabarani na kuwadhalilisha wananchi waliomchagua kwa jaribio hili la kuonyesha yeye ni mwakilishi asiyezingatia sheria na anayerudisha nyuma harakati za kukabiliana na ajali za barabarani
 
-Kuwa karibu na wananchi kivipi?Yeye ni mwakilishi wa wananchi lakini inaonekana anawakilisha wavunja sheria za barabarani na wahalifu.Hapa anastahili kuchukuliwa hatua za kisheria mara moja

-Pia hoja ya kuwa karibu na wananchi kutafuta ATM kwa kupanda Bodaboda mjini ni kutafuta cheap popularity na ku-expose fikra zilizochusha na kwa kuwa huyu ni msomi mwenye MBA anajua umuhimu wa huduma ya kibenki vijijini.Sasa kule Nzega ameshapigana kwa kiasi gani kuhakikisha huduma hiyo inawafikia wananchi vijijini?

-Nilidhani hiyo ndiyo inge-reflect ukaribu wake kwa wananchi kuliko jitihada hizi anazofanya mjini za kuvunja sheria za usalama barabarani na kuwadhalilisha wananchi waliomchagua kwa jaribio hili la kuonyesha yeye ni mwakilishi asiyezingatia sheria na anayerudisha nyuma harakati za kukabiliana na ajali za barabarani

Thanks Ben

halfu hii dhana ya "kuwa karibu na wananchi" ni self defeating, kama kweli kiongozi ni mwananchi, kwanini ahangaike kuwa karibu na wananchi???

cheap popularity from a cheap politician with cheap mindset kabisa... yaleyale ya January na bajaj, vituko vya kipuuzi kweli aisee...
 
ni mega complex ukitokea stadium kama unaelekea mnazi mmoja pale kwenye tawi jipya la nbc

Eeh Arif, asante sana, toka Lema Roads zitandazwe town nimekuwa mgeni sana
 
wakati taifa lilimpatia mil 90. Jamaa sasa anataka taifa litumie pesa zaidi kumpeleka Appolo India au kufanya uchaguzi mdogo. THINK BIG KIGWAH n shame be upon You!
 
Acheni mambo yakiswahili mbona ni mambo ya kawaida kabisa kupanda bodaboda jamani mtaelimiks lini? Hawa viongozi ni watu kama sisi jamani mkue kiakili.

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2
 
Mtu wa bodaboda kapata riziki yake maisha yanaendelea.
 
tumetoka kushuhudia picha ya Januari Makamba akiwa ndani ya Bajaji, leo sasa kuna kali ya mwaka Mbunge wa Nzega ame-post kwenye ukurasa wake wa FB picha akivinjari mitaa ya A-town kusaka ATM kwa kutumia usafiri wa Pikipiki, pamoja na kutaka kujionyesha wako karibu na maisha ya kila siku ya wananchi, nadhani Mbunge huyu amehatarisha maisha yake kwa kiasi kikubwa kwa kutokuvaa protective gears, hebu cheki mwenyewe hapa chini:

12210_10151534580468243_1030950183_n.jpg
Angevaa hizo protective angeonekana vipi kwamba ndio yeye .
 
Tutaona Mengi mpaka 2015.hiyo mpaka watoto watapewa shikamoo......Magamba hali ni mbaya sana!
 
ICHA. MUDA HUO ULIKUWA NI MAJIRA KATI YA SAA KUMI NA MOJA NA NUSU HADI SAA KUMI NA MBILI JIONI

Kweli uongo kazi ndio maana Kina Slaa wameanzisha kiwanda chao, kupiga picha kwa kutumia blackberry inachukua nusu saa?
 
Hana lolote fisadi picha inaonyesha kajiandaa kabisa na bodaboda imesimama!
 
... kama vile amejiandaa kupigwa picha! Ngoja niinote ID ya mleta mada, huenda ametumwa na Kigwangwalla kuja kuuza sifa za kijinga humu!
# Jibu ni kwamba alijiandaa kupigwa picha na mpiga picha ili aje aiweke twiter! Sasa alimpiga nani?
 
Acheni majungu wanaCHADEMA wenzangu kwani hapo ubaya uko wapi kwa mtu kupiga picha kwenye bodaboda na kuiapload fcbk? Hebu tuache uingiza ukamanda kwenye mambo ambayo siyo ya kikamanda koz mi navyojua makamanda huwa hawana majungu ya kike kama haya na hata kama Kigwallah hatumpendi lakin sio kwa style hii.

MAKAMANDA ACHENI MAJUNGU YA KIKE BADALA YAKE TUTAFAKARI JUU YA KUANZISHA TV NA RADIO.
 
Acheni mambo yakiswahili mbona ni mambo ya kawaida kabisa kupanda bodaboda jamani mtaelimiks lini? Hawa viongozi ni watu kama sisi jamani mkue kiakili.

Sent from my GT-N7100 using Tapatalk 2

mkuu bora useme 2 mwenyewe coz watu waswahili sana.
 
Back
Top Bottom