AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Waziri George Mkuchika amewataka wafanyakazi wote wa serikali wanaofanyakazi katika Mkoa wa Pwani na kuishi Dar es Salaam wahamie Pwani ifikapo Aprili mosi mwaka huu ili kupunguza gharama za kiutendaji pamoja na kuwahi mapema kazini.
Mkuchika amesema kitendo cha kuishi Dar na kufanyakazi Pwani huchangia kushusha ufanisi na utendaji wa wafanyakazi hao kutokana na kuamka usiku sana ili kuwahi kazini. Amesema ingawa Aprili mosi ni siku ya wajinga duniani lakini agizo lake walichukulie kwa umakini kwani halina uhusiano wowote na siku hiyo.
Source: The Guardian.
Mkuchika amesema kitendo cha kuishi Dar na kufanyakazi Pwani huchangia kushusha ufanisi na utendaji wa wafanyakazi hao kutokana na kuamka usiku sana ili kuwahi kazini. Amesema ingawa Aprili mosi ni siku ya wajinga duniani lakini agizo lake walichukulie kwa umakini kwani halina uhusiano wowote na siku hiyo.
Source: The Guardian.