Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

Huyu baba mtu aliyeenda juzi tu kaja na hizi taarifa?

Uchunguzi kaufanyia wapi?

Kama ameweza kuchunguza na kujua kijana alivaa bulletproof kwanini hajui sababu ya kuivaa?
Baba atakuwa anajua kwanini mwanawe alivaa bullet proof. Kama angekuwa hajui basi tungesikia anahoji hapo.
Sirikali iache urafiki na nchi za ajabu ajabu hizi. Dunia ina peaceful countries nyingi sana za kufanya nao urafiki.
 
Subiri kwanza, Joshua alipata wapi bullet proof?
Kama kafa kazini basi hatuna sababu ya kuhoji chochote. Maswali yako ya kipuuzi kaiulize serikali ambayo imeamua kufanya urafiki na nchi yenye vita wakati dunia ina nchi nyingi zenye amani.
 
Accumen Mo, post: 48894118, member: 666454yule ni raia wa nchi yako, unatakiwa uone ufahari kajiunga na jeshi la israel. Je angejiunga upande wa hamas ungejisikiaje?
Kajiunga na jeshi la Israel kwa faida ya nchi yetu?
Upuuzi wake ndio uliompoza kujiunga na wahuni wa Israel wanaopigana na wahuni wenzao wa Hamas.
 
waliwatimua wahamiaji waliovamia ardhi yao tangu enzi za mababu zao, wahamiaji wanadai ardhi ni yao na kuwashambulia wenye ardhi tangu enzi na enzi
Hivi sisi leo tuna haki ya kwenda kuwavamia Wangoni pale Songea na kuwaondoa kwa sababu ni wahamiaji toka South Africa?
 
Nionavyo Mimi inawezekana jushua alidanganywa na majeshi au viongozi kwamba ajitokee kupigana Kwa ujira baada ya Vita atajiunga kwenye jeshi au atapewa malipo mazuri, mambo haya utokea sana duniani hasa nchi zilizoendekea utumia wageni katika Vita ili kulinda watu wao.
 
It's obvious mzee yupo distraughted na ana uchungu. Kuna details lazima awe amezichanganya. Akiwa ametulia vizuri atajieleza vizuri.
 
Joshua katoka SUA, kaenda Israel kufanya internship, hata miezi 6 hajafikisha afu kuna wajinga wanaongozwa na dini bila kufikiri wanasema alikuwa mwanajeshi, hivi kuna mtu anaweza kuingia jeshini bila mafunzo,

Video inaonesha kabisa hana silaha yoyote alafu wapumbavu wanasema alikuwa mwanajeshi na yule mwingine alouliwa wa kutoka SUA alikua mwanajeshi pia??



Acheni kuongozwa na upuuuzi wa dini za kipumbavu, HAMAS ni magaidi
 
Raia wa Tanzania Wanafunzi na ma Diaspora wakifa huwa wanarudishwa na serikali ?

Au wakiwa Israel wanakuwa Wanafunzi Teule na Diaspora Teule ?

..Mazingira ambayo huyo kijana amekufa ndiyo yanalazimisha serikali ibebe jukumu la kurejesha mwili wake.

..Nchi za wenzetu raia wake akitekwa au akiuwawa serikali zao hufanya jitihada wapatikane.
 
HAMAS Negative Propaganda!
 
..Mazingira ambayo huyo kijana amekufa ndiyo yanalazimisha serikali ibebe jukumu la kurejesha mwili wake.

..Nchi za wenzetu raia wake akitekwa au akiuwawa serikali zao hufanya jitihada wapatikane.
Mazingira yepi?
 
Inawezekana Alikuwa spy huyo. Hamas Hawaui mtu asienahatia. Inaonekana Isreal inachukua vijana ktk nchi maskini kuwatumika kijeshi
Na wale mabinti waliokuwa kwenye festival waliouliwa na Hamas kwa kumiminiwa risasi Wana hatia si ndio? Vile vitoto vilivyochomwa moto kama ndafu na Hamas vilikuwa na hatia si ndio?
 
Mazingira yepi?

..mazingira kwamba mwili wa Mtanzania mwenzetu uko ktk eneo ambalo ni uwanja wa vita.

..serikali ndiyo yenye uwezo wa kuwasiliana na mamlaka za Palestina au Israel ili mwili wa Mtanzania mwenzetu upatikane na kurejeshwa nyumbani.
 
Kama kafa kijeshi kwanini asizikwe tu huko huko? Na Isreal
..mazingira kwamba mwili wa Mtanzania mwenzetu uko ktk eneo ambalo ni uwanja wa vita.

..serikali ndiyo yenye uwezo wa kuwasiliana na mamlaka za Palestina au Israel ili mwili wa Mtanzania mwenzetu upatikane na kurejeshwa nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…