Kwa kweli kwanza lazima niwaonee huruma wana familia kwa kupoteza mtoto lakini jana kuna vitu viwili kaongea mzee vinatia mashaka kidogo. Kwanza askari wa tano waliuwawa katika sehemu waliyokuwa wanaishi, sasa kweli wanajeshi wanaishi na raia wa kawaida wanafunzi? na kwanini alichukuliwa yeye tu kwenye hiyo kambo hakukuwa na wanafunzi wengine? na ni chuo gani hicho ili tu google tujuwe location. Alijificha safe room lakini walivunja na kumchukuwa na alikuwa amevaa bullet proof, alipata wapi hii kitu raia wa kawaida? nadhani kuna shida sehemu. Huwa tunasikia kaende chuo lakini sijasikia chuo hicho kikitajwa.