Hamad Rashid kuanzisha chama kipya!

Viva Chadema tulishamshtukia mapema sana huyu jamaa! Sasa aende akalime Karafuu na ashindie Urojo.
 
viva chadema tulishamshtukia mapema sana huyu jamaa! Sasa aende akalime karafuu na ashindie urojo.

nyie chadema sindio mlitaka awe mgombea mwenza wenu? Sasa hana chama mchukueni basi kesha temwa huyo! Kama kawaida yenu chadema huwa mnakula makombo ya vyama vingine! Mfano, lwakatare, akwilombe nk.
 
mimi ninavyojua Hamad Rashidi ni mtu makini sana, kama atafanikiwa kuanzisha chama kitafika mbali na kinaweza kuwa mkombozi wa kweli wa Mtanzania. Unajua wanachama wengi vya siasa Tanzania ni mashabiki wasiopenda kufikiri kwa umakini kupata ukweli wa viongozi wao, wanachojua ushabiki tu. wakipenda chama cha siasa fulani hawako tayari kufanya utafiti ili kujua malengo ya viongozi yanaendana na kauli zao.Tuwe makini jamani, hivi vyama vitaturudisha nyuma katika kuleta maendeo nchini. Tafakari chukua hatua!
 
mimi ninavyojua Hamad Rashidi ni mtu makini sana, kama atafanikiwa kuanzisha chama kitafika mbali na kinaweza kuwa mkombozi wa kweli wa Mtanzania. Unajua wanachama wengi vya siasa Tanzania ni mashabiki wasiopenda kufikiri kwa umakini kupata ukweli wa viongozi wao, wanachojua ushabiki tu. wakipenda chama cha siasa fulani hawako tayari kufanya utafiti ili kujua malengo ya viongozi yanaendana na kauli zao.Tuwe makini jamani, hivi vyama vitaturudisha nyuma katika kuleta maendeo nchini. Tafakari chukua hatua!

Kweli wewe unaijua siasa sio hawa bendera wanafata upepo tu,Hamad ni mtu makini sana atafika mbali,sio huyo maalim seif hana lolote shida yake ilikuwa ni madaraka kishapata sasa kimya kama sio yeye anatekeleza ilani ya ccm,na Cuf inazidi kufa
 
mimi ninavyojua Hamad Rashidi ni mtu makini sana, kama atafanikiwa kuanzisha chama kitafika mbali na kinaweza kuwa mkombozi wa kweli wa Mtanzania. Unajua wanachama wengi vya siasa Tanzania ni mashabiki wasiopenda kufikiri kwa umakini kupata ukweli wa viongozi wao, wanachojua ushabiki tu. wakipenda chama cha siasa fulani hawako tayari kufanya utafiti ili kujua malengo ya viongozi yanaendana na kauli zao.Tuwe makini jamani, hivi vyama vitaturudisha nyuma katika kuleta maendeo nchini. Tafakari chukua hatua!

Chopa Boy karib sana JF.

Tunamfahamu Hamad kuliko unavyomjua wewe. CUF wamemfukuza yupo huru kwa chama chochote kile.

Sasa tunamwangalia je ataweza kuja juu kama walivyo akina Bi Naila Jidawi au Salum Msabaha?

 
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele

Kama ina mkono wa Kibopa haraka sana inaweza kufanya maajabu.
Kama ni kwa ubongo wake na bila link na Mshenzi yeyote kutoka kwa Magamba atachechemea milele, itakuwa haina tofauti na chausta, nra na dp
 
hamad rashid hata aanzishe chama hana mvuto....

Katu masikio hayazidi kichwa, alikuwa anafanya vizuri chini ya combination ya CUF yeye akajiona bila yeye CUF haipo, amebeep watu wamepiga na jana niomeona mkutano wa CUF watu walikuwa nyomi. Ni salamu kwa wanafiki wote.
 
Baada ua uchaguzi wa Mwaka jana huyu Hamad alikuwa mwiba kwa wabunge wa Chadema na kushinikiza kambi ya upinzani iliyoongozwa na Chadema sheria iborongwe ili kuwapa nafasi wabunge wa vyama vingine vya upinzani. Hata hivyo alionja joto ya jiwe pale alipoachwa bila kupata nafasi ya kuongoza moja wapo ya alichotegemea na hata pa kufutia jasho.

Hapo ndipo balaa na laana ya Hamad Rashidi ilipoanza, tunayoona saa ni matokeo tu, kwani alizoea ulaji na sasa alipokosa alielekeza nguvu chamani kumwondoa Seif, alichokosea ni speed aliyoingia nayo ameshtukiwa. Ndio maana vyama vya siasa vinajua hilo vimebaki bubu na sasa peke yake anaendelea kumwaga pesa alizopigania kupanda posho bungeni, asipoangalia atamaliza zote na kuishia kushindwa kesi, bora tu angalinda mtaji alio nao kuwahifadhi wajukuu wake.
 
Go

alliance-logo.8796.png
 
mimi ninavyojua Hamad Rashidi ni mtu makini sana, kama atafanikiwa kuanzisha chama kitafika mbali na kinaweza kuwa mkombozi wa kweli wa Mtanzania. Unajua wanachama wengi vya siasa Tanzania ni mashabiki wasiopenda kufikiri kwa umakini kupata ukweli wa viongozi wao, wanachojua ushabiki tu. wakipenda chama cha siasa fulani hawako tayari kufanya utafiti ili kujua malengo ya viongozi yanaendana na kauli zao.Tuwe makini jamani, hivi vyama vitaturudisha nyuma katika kuleta maendeo nchini. Tafakari chukua hatua!
Pamoja na mimi kuwa mfuasi wa CDM namkubali Hamad kama mwanasiasa hodari ila siungi mkono wazo la yeye kuanzisha chama maana utitiri tuliokuwa nao unatosha kabisa. Kuanzisha chama si lazima uwe msemaji kwenye majukwaa kwani chama ni mkusanyiko wa watu wenye lengo maalum kwa hiyo miongoni mwa watu hao watakuwepo wanasiasa wazuri tu. Hii inanikumbusha mwanzo kabisa wa upinzani ambapo mwalimu Nyerere alipewa nafasi ya kutoa mtazamo wake kwa vyama vya upinzani vya wakati ule. Alikiponda NCCR na kukiita cha wahuni aliibeza CUF kama chama kisicho na sera nzuri sana ila walikuwa na kiongozi mahiri kwa siasa - Hayati Shaban Mloo, alizisifu sera za CHADEMA kama ni sera bora kabisa ila alisema waziwazi kwamba Mwenyekiti wao wa wakati ule hakuwa mwanasiasa, bali mchumi - (Wakati huo alikuwa Mzee Mtei) na alitoa angalisho la waziwazi kwamba siku CHADEMA ingempata mwanasiasa wa kuzitafsiri sera zao hizo alizoziita "nzuri" kwa wananchi hata CCM itakuwa na wakati mgumu. Sote tunashuhudia sasa kinachotokea baada ya CHADEMA kuwapata wanasiasa kadhaa.
Mafanikio ya chama kipya cha Mh. Hamad yatategemea sera na malengo ya chama chake. Ana wakati mzuri wa kubuni sera na malengo ya kuwavutia watanzania baada ya kuyaona mapungufu yaliyokokatika CCM, NCCR, CUF, TLP, CHADEMA na vyama vingine vilivyopo. Ila nina wasiwasi naye juu ya uswahiba wake na kina Pinda alioukiri hadharani, na minong'ono ya yeye kuwa na uswahiba na EL, RA na Mzee wa vijisenti; je kuna chama makini kitakachozaliwa katika mazingira hayo?
 
huu ni uzushi na ni uongo uliotukuka.Hamad hajaanzisha chama.alichofanya jana ni kwenda mahakamani kuishtaki cuf kwa kukiuka amri ya mahakama...hamad bado ni mbunge cuf.kadanganye watoto wenzako huko
 
Back
Top Bottom