Hamad Rashid kuanzisha chama kipya!

Hamad Rashid kuanzisha chama kipya!

Ndiyo maana alikuwa busy kufungua matawi huku Tanganyika ili apate japo wachache wa kumuunga mkono pindi msajili wa vyama vya siasa atakapo pita kukagua wanachama

Ninahamu sana kulisikia jina la hicho chama kipya
 
maalim seif anajua kabisa kuwa hr ataruhusiwa na mahakama kuendelea kuwa mbunge. Lengo lake ni hr akose mdomo wa kusemea kwenye chama na miguu ya kutembea akiwa mwana chama. So hr atabaki kuwa mbunge wa mahakama huku akiwa si chochote kwenye chama, na malengo ya hr kuwa katibu mkuu yameishia jana

kafulila mbunge wa mahakama, hamad rashid nae huyoo!
 
me naamini wakikaa pamoja wale wote waliofukuzwa kwenye NGO'S za mwanzo wakapanga mikakati na kukubaliana wanaweza kuja na kitu imara sana kwani wamejifunza walikotoka.kina KAFULILA,wale MADIWANI wa arusha CHADEMA,HAMAD TAO NA JESSE MAKUNDI wa TLP,na wengine wote wwaliojeruhiwa pamoja na wazalendo waliopo ambao walikuwa hawajafanya maamuzi WAUNGANE NA WASIWE WABINAFSI.

Hahahaha haitakuwa chama itakuwa chaos!

Sishauri kabisa tena wamuweke na yule mbunge wa Mwanza aliyetoka CCM akaenda Chadema.
 
siku zote huwa namwangalia HR huku jicho moja nikiwa nimefumba
 
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele
 
Haswa! Hiyo ni kete ya ushindi kwa CCM! Pengine hilo ndilo alilotaka maalim seif! Hebu tupe source mkuu!
 
hii vita ya kumwondoa ccm imekuwa ngumu sana sassa!
 
Haswa! Hiyo ni kete ya ushindi kwa CCM! Pengine hilo ndilo alilotaka maalim seif! Hebu tupe source mkuu!
Bado ni tetesi ila nimeipata kwa mmoja wa viongozi wa serikali ambaye siwezi mwandika jina lake humu
 
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele

Mkuu umesikia kwa nani wakati jamaa ana harakati zingine na ni mwana KAFU bado ? Unaleta udaku JF
 
Huu ni udaku maana hadi jana jamaa anapambana ana akina Mtatiro kortini
 
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele

Kwani ndio alivyosema leo huko habari maelezo Dar. maana tunasikia anashinda hapo kutwa kucha kutaka huruma za waandishi wa habari.

Kwa ninavyojua na ndivyo ilivyo Znz hakuna mgawanyika na hata CUF hakuna mgawanyiko kwani aliyetaka kuleta mgawanyika ameshafukuzwa na sasa anakesha na kushinda ukumbi wa habari maelezo. Hata jimboni kwake kwenda hataki.

Kwa ninavyomjua hamadi Rashid. hana uwezo wa kusimama katika kiriri na kuzungumza siasa kwani yeye ni mtendaji na si mwanasiasa. Je mmekwisha muona kwenye kiriri anahutubia? Fuatilieni hilo mtamuona.

Ni mtu wa kupenda ukubwa na uchu wa madaraka makubwa na ndio maana CUF wamemtimua.



 
Utitiri wa vyama!
Agenda kuu ya chama hicho itakuwa na utofauti gani na CUF?
 
Back
Top Bottom