Hamad Rashid kuanzisha chama kipya!

Bungeni alionyesha kwa uwazi kushirikiana na CCM kupambana na Chadema, ona sasa wao CCM wako pembeni wamemwacha ana wayawaya kama mbayuwayu kwenye jua kali.
 
mimi ntakua wa kwanza,nasubiri kupata taarifa rasmi,hiki kinaweza kuwa chama cha kidemokrasia cha kweli maana hamad rashid kutokana na sakata hili atakua amekomaa hatothubutu kuwa mbakaji wa demokrasia ndani ya chama na ntamueleza wazi sio lazima awe mwenyekiti yeye,baada ya kupata usajili aitishe uchaguzi wa ndani haraka na kila mwanachama awe huru kugombea,ntamsaidia kukifanya kiwe chama cha kupigiwa mfano kwa ukomavu wa demokrasia ya ndani ya chama...

hicho ndicho anachotafta...pole mdau...hii presha inatokana na kunyimwa vyeo cuf na pia kwenye seriikali ya umoja wa kitaifa huko znz...we humwoni alivokua ndumilakuwili baada ya uchaguzi kuisha??? think twice brother...
 
hicho ndicho anachotafta...pole mdau...hii presha inatokana na kunyimwa vyeo cuf na pia kwenye seriikali ya umoja wa kitaifa huko znz...we humwoni alivokua ndumilakuwili baada ya uchaguzi kuisha??? think twice brother...

Nimezungumza nae twice jana jioni na usiku kama saa tano,yuko very cooperate aise huwezi kuamini,anasema hata yeye pia lengo lake ni kuwa chama hicho kiwe na uwezi wa hali ya juu na kiwe ni chenye kufuata katiba kwa kuwa watu hawatawaelewa kurudia yale aliyoya experience ccm na baadae cuf aliyoshiriki kuiasisi,hata akishindwa uchaguzi atabaki kuwa mmoja wa waasisi,na mimi hayo yote aliyoniambie nimeyarekodi ni nimemueleza ntakua namkubusha kila wakati nikiona anaenda ndivyo sivyo na alivyoahidi,kimsingi tumekubaliana.
 
me naamini wakikaa pamoja wale wote waliofukuzwa kwenye NGO'S za mwanzo wakapanga mikakati na kukubaliana wanaweza kuja na kitu imara sana kwani wamejifunza walikotoka.kina KAFULILA,wale MADIWANI wa arusha CHADEMA,HAMAD TAO NA JESSE MAKUNDI wa TLP,na wengine wote wwaliojeruhiwa pamoja na wazalendo waliopo ambao walikuwa hawajafanya maamuzi WAUNGANE NA WASIWE WABINAFSI.
 
Uroho wa Madaraka utawamaliza viongozi wa upinzani pamoja na vyama vyao. Wanajali tu maslahi yao binafsi

I admired ur thinking concernig people like HR, jamani when u post a comment mjueni mtu vizuri, HR ni mrohoooo sana sana wa madaraka, vyeo, ana kale katabia cha UMWINYII in 21 century, he isn't negotiable for many things akijua hapati kitu, yeye, yeye tu ndie anang'ang'ania madaraka, he is too pessimist for many stuffs, & hana MVUTO KWA WANANCHI, period
 
me naamini wakikaa pamoja wale wote waliofukuzwa kwenye NGO'S za mwanzo wakapanga mikakati na kukubaliana wanaweza kuja na kitu imara sana kwani wamejifunza walikotoka.kina KAFULILA,wale MADIWANI wa arusha CHADEMA,HAMAD TAO NA JESSE MAKUNDI wa TLP,na wengine wote wwaliojeruhiwa pamoja na wazalendo waliopo ambao walikuwa hawajafanya maamuzi WAUNGANE NA WASIWE WABINAFSI.

Hayo yote hasa la bwana kafulila nimezungumza nae na kumshauri bwana Hamad Rashid,leo nitaongea na kafulila kujaribu pia lengo ni hilo waungane nikiamini hawa kutoka na experience yao watakua chachu ya kuleta mabadiliko ya kidemokrasia ya kweli hasa ndani ya vyama kuondokana na hii dhana ya makatibu na wenyeviti wa vyama kuwa miungu watu
 
Should we really care? CUF kimekuwa irrelevant huku bara. By the way Chama kitakuwa kwa ajili ya wapemba tena wa Wawi.
 
Mbona alikuwa anasheherekea ndoa ya ccm na cuf leo imekuwa haina baraka? kweli hr ni mwehu.
 
Sioni kama ataanzisha chama kingine labda atarudi CCM.imebidi aseme hivyo kama hulka ya binadamu lakini rohoni anajua ni vigumu.Kwani hajajitayarisha kwa hilo,hadi kipenge cha mwisho alikuwa anatafuta huruma za wana CUF wamnusuru kuondolewa ubunge yaani maslahi.Kisiasa ni mwanzo wa mwisho wake.
 
Aende ccm, itachukua muda mrefu chama hicho kupata umaarufu.
 
vyama vya siasa (NGO'S ZA KISIASA) karibu zote hapa bongo zina sifa zinazofanana.
1.zote ni za kanda mf.kaskazini,pwani,magharibi nk.
2.NGO'S zote hizi zina elements za ukabila
3.zote zina elements za udini
4.zote zina elements za ubabe na udikteta.
5.zote zina tabia ya kufukuzana uanachama
6.zote zina elements za uroho wa madaraka
7.zote zina migogoro inayosababishwa na uchoyo wa fedha
 
Siasa za hapa nchini naanza kupata picha kamili kwamba mwaka 2015 utafika tukiwa kama uchanguzi 2011 ulifanyika jana na Raisi hajawahi kutangazwa kuongozi nchi yetu.Maana kila siku mambo yanakuwa matamu.
Basi nilirudi kwenye Hoja ,nakumbuka HR alipoanza kampeni yake alitoa Projection yake,kwamba ,mimi(HR) tulikubaliana na Malim self tutoke CCM ,baada ya kushindana huko CCM,baadaye yeye Seif ameingia SUK nakumsahau HR.
Kweli "Do not enter an aggreement /engagement with anybody without eveidence/seal "maana binadamu siku zote hawaaminiki ,hata Mungu ameonya hili ole wake amtengemeana mwanadamu maana mwadamu amelaniwa!.
HR hayuko peke yake kumbuka wakina Mpendazoe,na wale mitume 12 wa wapampandaji wa ufisadi,walivyoana mambo yamewanyokea huko kwenye plan A yao wakawatosa wakina mpendazoe.Kuhusishwa kwake na EL ni kweli kwmba hiyo ni plan B ya EL .Tutayashudia kwasasabu yeye alishasema hata wakinfukuza nitaanzisha chama kingine.CCM mkimfukuza EL mjue tayari plan B yake iko jikoni.
Nawakilisha
 
The Romantic,

Mwambie anitafute hata mie natafuta chama chenye DEMOKRASIA ya kweli.
 
Chadema kumbe hakimfai ee?? Basi Bora akajiunge na Jahazi Asilia...Kulaladek ..Eti Jahazi Asilia Chama Cha siasa...Can you Write in English halafu jifanye wewe ni Mtangazaji wa CNN...usome ushindi wa Jahazi Asilia??
 
Boras anzishe chake maana CUF =CCM.
Big up achana na wanafiki na wabinafsi hao mpiganaji!
 
eeehhh, wale aliofukuzwa pamoja nao ndio watakuwa wafuasi wake wa kwanza au?
 
Back
Top Bottom