tatizo mleta mada kaja nusu nusu bila ya data kamili...
ckiliza taarifa ya dw
ckiliza taarifa ya dw
Mkuu tunaendeleza sera ile ile ya Takbiiiiir hata tukiwa nje ya chama chetu cha KAFUMkuu thibitisha au futa kauli.............teh teh teh teh the!!!
Kitakuwa ni cha Pemba?
mkuu, wewe ndiyo umesikia hiyo habari instantly, sasa huoni sisi tukifungua hiyo dw kwa tutakuwa tumepitwa na hii habari,
or you need fee or upfront payment for this piece of info
Nimemsikia akisema kuwa CUF kimepoteza mvuto na hasa upande wa Bara.