Halotel wana network ya 4g??

Halotel wana network ya 4g??

Hii spidi ya halotel 4g sasa ni sifa yaan gb 1 inapukutika tu masaa kadhaa
Screenshot_20190922-222734_Chrome.jpeg
 
Mkuu kuna free 4gb mimi sjazipata na nina kama wiki sasa nafanyaje kuzipata aisee
Sehemu nyingi wanatupiga bei kuswap

China plaza wanaswap kwa buku 2

Halotel makao makuu bureeee


Mawakala wana njaa sio mchezo yaani kuswap tu pesa au zile gb 4 ofa wanataka tuwalipe
 
Haiwezi kuongezeka hiyo 3g mkuu coz umebadili 4g ndo imeongezeka ila 3g inabaki kama mwanzo
Je Kama Nina simu haisapoti 4G,,,inasapoti 3g je nikiweka line ya 4g speed ya internet unaweza kuongezeka kidogo tofaut na mwanzo nikitumia 3g
 
Hii band Ni pasua kichwa mkuu, ukiwa nje pia huipati?
Nina mpango wa kununua hizi outdoor 4G router hivi karibuni nijenge mnara wangu niipandishe juu maana naona maghorofa ya majirani yanablock 4G. Ntaweka uzi wa comparison nadhani ndio itakua solution ya internet ya home
 
Mkuu hata mimi naitumia Samsung a30 inasoma 4g wala sio LTE sjui tatizo ni nn au kuna mtu anatumia halotel ya 4g simu yake inasoma LTE atuambie tujue kama shida ni cm zetu ama laah.!! Maana nachojua mimi 4g na LTE ina kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko 4g au nmekosea jmn ndio maana ni vizur isome LTE kuliko kusoma 4g tu.
Sijui tatizo ni sim nnayo tumia au laa
Baada ya kuona huu uzi nili enda china plaza

Nika sajili line ya chuo tshs 7000
Nika swap kwenda 4G tshs 2000
Vocha nika weka ya tshs 2000 week GB 5
Natumia internet ila haisomi 4G LTE ina ishia kusoma 4g tu sim ni izi LG G3 at&t mda wote ina icon ya 4g lakin speed ya kawaida kama 3g

Wataalamu emb nisaidien nifanyaje

View attachment 1212712
 
mkuu seems hawa halotel wameblock wifi tethering, atleast kwangu, nikishare wifi na computer ama simu nyengine inakuwa slow ila nikitumia usb tethering ipo fast sana,

View attachment 1208622
ila kwa speed wapo vizuri, sasa hivi server ndio zinanikwamisha zipo slow na sio internet speed
How do they do it?

Maana ukiwasha wifi hotspot simu yako si inakuwa NAT router? It should be invisible kwa mtandao kuwa umeshare
 
How do they do it?

Maana ukiwasha wifi hotspot simu yako si inakuwa NAT router? It should be invisible kwa mtandao kuwa umeshare
Mkuu Huku kulimit hotspot kupo zamani tu na Ni built in feature ya android ambayo isp anaitumia, sijui inavyofanya kazi Ila unaweza kubypass kwa kutumia 3rd party apps/drivers.
 
leo nimepata hawa jamaa,Honest kwa sasa wako vyema lakini sidhani endapo wataendelea na huu daima
 
Mkuu Huku kulimit hotspot kupo zamani tu na Ni built in feature ya android ambayo isp anaitumia, sijui inavyofanya kazi Ila unaweza kubypass kwa kutumia 3rd party apps/drivers.
Nimesoma soma kidogo. Interesting stuff.
 
Back
Top Bottom