Halotel wana network ya 4g??

Halotel wana network ya 4g??

Ni hatar mkuu mi nina kile kifurushi cha royal imebaki zike ya speed ya kawaida ila isipime na enjoy kinoma halotel sihami mpaka. Waondoe hiko kifurushi cha Royal spat picha nikiunga cha kawaida itakuwaje
Kwa atakaye fanikiwa kupata line ya halotel ya LTE kwa DSM atujulshe humu JF kwa maan na shda nayo kwa maan hapa na ya 3g lkn speed yake ni inatsha View attachment 1209797
 
Ngoja tucheki
20190916_195237.jpeg
 
Sehemu nyingi wanatupiga bei kuswap

China plaza wanaswap kwa buku 2

Halotel makao makuu bureeee


Mawakala wana njaa sio mchezo yaani kuswap tu pesa au zile gb 4 ofa wanataka tuwalipe
Yaap nimeona ilo bahadhi Ya sehemu wanawatoza pesa hadi elfu 5
 
Je Kama Nina simu haisapoti 4G,,,inasapoti 3g je nikiweka line ya 4g speed ya internet unaweza kuongezeka kidogo tofaut na mwanzo nikitumia 3g
 
Je Kama Nina simu haisapoti 4G,,,inasapoti 3g je nikiweka line ya 4g speed ya internet unaweza kuongezeka kidogo tofaut na mwanzo nikitumia 3g
Pa1 kuwa cna utaalam vzur na hch k2 ngoja na mm nkuulze swal.

Je kama cm yng ikiw inasupport 4G na nmeweka lne ya 3G kasi yake itakuaj?

Swali lngne niambh kat ya cm na line ipi inayomboost mwenzak.
 
Back
Top Bottom