Halotel wana network ya 4g??

Halotel wana network ya 4g??

Nahisi Halotel wao wenyewe wakiona band ya 4G yao haiko compitable na vifaa vingi wata upgrade au kuongezea band nyingine...!
 
Hii band Ni pasua kichwa mkuu, ukiwa nje pia huipati?
inapanda na kushuka!!!!
kesho nitacheck Magomeni na Kariakoo.

Kwa wale wanaotaka kuchukua Modem ya zantel DWM-222 haitosoma kwenye 4G ya Halotel ila zantel,Tigo,Voda,TTCL na Airtel zinasoma fresh.
halotel 4g.JPG

Halotel 3G inasoma poa

halotel 4g2.JPG

halotel 4G - no Service


ttcl.JPG
 
Halotel 4G hapa Bukoba inaonyesha band inayotumika ni B1 2100MHZ vipi wanaweza kutumia band tofauti kulingana na location.Kwenye router imekataa lakini kwenye simu naipata vizuri.
WhatsApp Image 2019-09-11 at 15.44.07.jpeg
WhatsApp Image 2019-09-11 at 15.36.51.jpeg
 
Halotel 4G ni pasua kichwa nimejaribu simu mbili imegoma (IPhone 6s Plus ,One plus )
 
Halotel 4G ni pasua kichwa nimejaribu simu mbili imegoma (IPhone 6s Plus ,One plus )
4G bands za IPhone 6s,,,, Alafu hiyo OnePlus ndo sim gan? Maana najua zipo models nyingi mkuu za OnePlus...
Screenshot_20190913-113740.jpeg
 
Kibukila ,CHIEF MKWAWA hizi takwimu za speed test nitajuaje eneo langu internet ni kubwa sana yaani nielewesheni maximum ni ipi na minimum ni ipi maana mimi sio mtaalamu wa juu wa utambuzi wa internet
 
Back
Top Bottom