Halotel wana network ya 4g??

Halotel wana network ya 4g??

Mkuu hata mimi naitumia Samsung a30 inasoma 4g wala sio LTE sjui tatizo ni nn au kuna mtu anatumia halotel ya 4g simu yake inasoma LTE atuambie tujue kama shida ni cm zetu ama laah.!! Maana nachojua mimi 4g na LTE ina kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko 4g au nmekosea jmn ndio maana ni vizur isome LTE kuliko kusoma 4g tu.
Mm kwa jns nnavyoon wote wako sawa 4g na LTE znamaan moja czan kama utofauti kmaana
 
Huawei Router E5573 model E5573Cs-322 inasupport 4G ya Halotel.Hizi router wanauza Halotel shop Mlimani city na unaweza kuweka line ya mtandao mwingine.

Sijui kwa nini ya E5377Bs-605 haifanyi kazi kwa 4G ya Halotel.
 
Huawei Router E5573 model E5573Cs-322 inasupport 4G ya Halotel.Hizi router wanauza Halotel shop Mlimani city na unaweza kuweka line ya mtandao mwingine.

Sijui kwa nini ya E5377Bs-605 haifanyi kazi kwa 4G ya Halotel.
Bei kiasi gani?
 
Bei kiasi gani?
Router yangu pia inapiga mzigo vizur kwa network ya 4g ya halotel,ila nilinnunua tigoshop bei wanaanzia elfu 99
Screenshot_20190925-074630_HUAWEI%20HiLink.jpeg
 
Wadau... nimeenda pale Halotel makumbusho nimembiwa laini ya 4G ni sh elfu 10 yule dada kaniambia ni royal. Kasema hakuna za kawaida. Nimesepa.... hakuna sehemu wanayosajiri kwa bei ya kawaida? Nilikua na laini wakaifunga kwahiyo siwezi kuswap
 
Haloteli makanjanja lakini...nilisajili laini zao kariakoo..ikawa iko fresh kwente net nimefika home nikatamani kulia kwa jinsi ilivyokuwa inadengua muda wote mnara unasoma H ..sasa sijui hili LA 4g lite kama litakuwa sawa huku napoishi...
 
Wadau... nimeenda pale Halotel makumbusho nimembiwa laini ya 4G ni sh elfu 10 yule dada kaniambia ni royal. Kasema hakuna za kawaida. Nimesepa.... hakuna sehemu wanayosajiri kwa bei ya kawaida? Nilikua na laini wakaifunga kwahiyo siwezi kuswap
Ndio walivyo wale wanadanganya, Mimi waliniambia hivyo hivyo nikawaambia ya royal ninayo nataka ya kawaida wakanisajilia. Inavyoonekana Kuna bonus fulani wanapewa mtu akisajili line ya Royal.
 
Ndio walivyo wale wanadanganya, Mimi waliniambia hivyo hivyo nikawaambia ya royal ninayo nataka ya kawaida wakanisajilia. Inavyoonekana Kuna bonus fulani wanapewa mtu akisajili line ya Royal.
Ya kawaida walikudai shilingi ngapi?
 
Ya kawaida walikudai shilingi ngapi?
Usajili Ni bure mkuu, hata hio royal unatoa 10,000 na ndani unakuta umeungwa royal ya mwezi yenye thamani ya 10,000. Au hata Kama watataka Hela Ni 1000 max maana ndio gharama za usajili wa kawaida.
 
Jana nimeongea na watu wa Halotel wamesema kweli huduma hii imeanzishwa unatakiwa kuswap line yako ya sasa kuipata.Ila sio wilaya zote zimeshapata hii huduma.Nitaleta mrejesho jumatatu nikiswap lain yangu.
Mi nshaswap amna 4G wala ufyuzi
 
Back
Top Bottom