Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Mm kwa jns nnavyoon wote wako sawa 4g na LTE znamaan moja czan kama utofauti kmaanaMkuu hata mimi naitumia Samsung a30 inasoma 4g wala sio LTE sjui tatizo ni nn au kuna mtu anatumia halotel ya 4g simu yake inasoma LTE atuambie tujue kama shida ni cm zetu ama laah.!! Maana nachojua mimi 4g na LTE ina kuwa na kasi kubwa zaidi kuliko 4g au nmekosea jmn ndio maana ni vizur isome LTE kuliko kusoma 4g tu.