Mr Misifa
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 255
- 471
Mkoa gani mkuu sema tu usiogope au sm yako haina 4g maana sio swala la laini tu hata cm nayo inatakiwa iwe na uwezo wa 4g pia.
niko mkoani tatizo
niko mkoani tatizo
Mkoa gani mkuu sema tu usiogope au sm yako haina 4g maana sio swala la laini tu hata cm nayo inatakiwa iwe na uwezo wa 4g pia.
Mpaka baadhi ya wilaya Halotel 4G ipo mkuu..!
Wilaya gani hzo na mikoa gani yny minara ya 4g tofauti dsm
Ndo maana nkasema kuwa 4g ya halotel bado haijasambaa bora hata tgo na voda wana 4g mpk kjjnTabora, Mwanza Musoma ila ni kwa maeneo ya mjini/Center tuu
Kibaigwa & Kibaha huko pote pana 4G ya HalotelTabora, Mwanza Musoma ila ni kwa maeneo ya mjini/Center tuu
2600, sio band common, Hapa lazima kuwe na heshima kwa wenye iPhone/Samsung ama flagship na mchina wa Bei rahisi.
Hiyo band kweny iphone utaiskia tu kweny bomba
Ttcl si wanatumia minara ya Tigo pia? Umeweka roaming?
Ukitoa ttcl Kuna Airtel (uwe na line ya chuo) na Halotel (huna haja ya line ya chuo).
Mitandao yote miwili inatoa mb sawa na shilingi moja yaani kwa 500 unapata mb 500, 1000 unapata 1GB, 2000 2GB etc.
Lazma uswap mkuu ndio utapata 4G otherwise itasoma 3G tu kawaidaXiaomi wana cover band nyingi sana aisee, nimegundua hilo aisee. Je nilichukua laini ya halotel kawaida nikaiweka kwa simu itapandisha mnara au mpka kuswap
Lazma uswap mkuu ndio utapata 4G otherwise itasoma 3G tu kawaida
Fafanua unamaanisha nn
Xiaomi wana cover band nyingi sana aisee, nimegundua hilo aisee. Je nilichukua laini ya halotel kawaida nikaiweka kwa simu itapandisha mnara au mpka kuswap
Roaming inamaanisha mtandao wa simu unaazima network kutoka mtandao mwengine. Hii hutokea pale unapoenda eneo ambalo hakuna mtandao kwenye line unayotumia lakini upo mtandao rafiki wa mtandao wako hivyo simu yako Ina roam kwenye mtandao mwengine.Roaming inasaidia nn hua naiona na sijui umuhimu wake hebu nielekeze plz plz kipande ubongo
Kama redio vile ambavyo inasearch band za radio one, ama TBC fm na simu vile vile inasearch band za mitandao ya simu Kama Voda na Halotel.
Ili ukamate network ya mtandao husika inabidi simu yako iwe inasupport band ya huo mtandao.
Hizi xiaomi redmi za series ya 8 Kama note 8 na note 8 pro hazina coverage ya 4G ya mitandao yote Tanzania, Ila note 7 inayo, hivyo hata kwa xiaomi pia unatakiwa uwe makini.
Ndio mkuu note 7 inayoNote 7 iko na 7 yangu inayo
Roaming inamaanisha mtandao wa simu unaazima network kutoka mtandao mwengine. Hii hutokea pale unapoenda eneo ambalo hakuna mtandao kwenye line unayotumia lakini upo mtandao rafiki wa mtandao wako hivyo simu yako Ina roam kwenye mtandao mwengine.
Mfano ukienda Kenya na line ya Vodacom simu yako itaroam na kushika mtandao wa safaricom.
Unjanja wote huo unaishi Mpanda?niko mkoani tatizo
Hahahah ndio panaponifaa mzee baba, nyie pambaneni na joto na foleniUnjanja wote huo unaishi Mpanda?
ROAMING ya nje ya nchi ndio unalipia, Ila kibongo bongo hizi Roaming za TTCL na Tigo, sijui zantel na Tigo zinakuwa Ni bure tu.Je simu yangu nikiwasha roaming nikapata network kuna gharama za ziada nitakazo lipa au kutozwa je nitalipaje wakataka kweny salio la mb au lakawaida au nitakipa baadae au kabla naomba kujua kama kuna malipo ya hii roaming na yanafanyikaje.