Inawezekana taarifa zako ni sahihi, ila badala ya kuripoti wewe umechagiza Zaidi kiasi kwamba wachambuzi wa aina yetu tunaona kama kwamba taarifa yako imechagizwa na kukosa maslahi binafsi fulani, mfano kufukuzwa au kukosa (kazi) kuajiriwa na kampuni hiyo.Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.
Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali
Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
Nn jipyaaaa pamojaa nakusomeshwa nje akuna wanachofanya chaziadaaaWaacheni wa Vietnam wafanye Kazi. Wabongo hatuna ozoefu sana sana tuende nje tukasomee turudi na kuomba Kazi. Longo Longo tuache hizi Kazi hatuzimudu uzoefu na elimu hatuna.
Mitanzania mijizi, mivivu, haifanyi kazi bila kusimamiwa na hata ikisimamiwa inafanya kazi 10% ya Mvietnan au Mhindi anaefanya kazi hiyo hiyo.
Mitanzania kama kazi haina "dili" aka kuiba kazini wanaona hiyo si kazi na bora waingie mitaani kuomba omba.
Niknnjnnnnnnnnbvfdcvh.
Hzi line zinauzwaje i mean bei?Speed ya konyoo achakabisaaa m kilamtu hme analine zachuo utatupenda had I mtuyuko chumbani ukienda chooni unampigia MWENZIO jaman nikochoon msije
Hebu rudia tenaKitu ambacho ninaota ni kuwa halotel ni mradi wa CCM ambao unakusudiwa kuwa chanzo cha mapato kugharamia uchaguzi,na kuna kipindi karibia na uchaguzi Kinana alienda Vietnam kusaini mkataba.Kwahiyo ukiwa unakwangua vocha ujue hilo..
Well said japo umeongelea point moja tu ya mleta uzi - localisation of posts. Suala la vibali sijui unalisemeaje? Au kwa vile hawa jamaa ni 'mfano wa kuigwa' basi wanapata exemption ya kuwa na valid permits?
Anayekuokoa huko kijijini ni mitambo iliyofungwa ambayo inaweza kuendeshwa na mtanzania.Halotel wanatuokoa sie wakulima huku vijijini.
Hebu wakae chini wamalizane na serikali.
Nimesahau, Mitanzania miongo, mizandik, mifataani, michawi, mihasidi.
Warogeni sasa waondoke muachiwe shirika mliuwe.
Mlikuwa na shirika moja tu la simu zote, mmelifilisi limekuwa nyang'a nyang'a. Sasa mnajidai Ooh kazi hizo hizo tunaziweza.
Kazi mnazoweza Watanzania ni kamati za harusi na mazishi, ngoma, kulewa, kuzini, kuiba, kulewa na kujisifu kwa wizi.
Mfrghhhytuknamashuzi.
Umesema kweli Faiza ,lets be seriousNimesahau, Mitanzania miongo, mizandik, mifataani, michawi, mihasidi.
Warogeni sasa waondoke muachiwe shirika mliuwe.
Mlikuwa na shirika moja tu la simu zote, mmelifilisi limekuwa nyang'a nyang'a. Sasa mnajidai Ooh kazi hizo hizo tunaziweza.
Kazi mnazoweza Watanzania ni kamati za harusi na mazishi, ngoma, kulewa, kuzini, kuiba, kulewa na kujisifu kwa wizi.
Mfrghhhytuknamashuzi.
Nimesahau, Mitanzania miongo, mizandik, mifataani, michawi, mihasidi.
Warogeni sasa waondoke muachiwe shirika mliuwe.
Mlikuwa na shirika moja tu la simu zote, mmelifilisi limekuwa nyang'a nyang'a. Sasa mnajidai Ooh kazi hizo hizo tunaziweza.
Kazi mnazoweza Watanzania ni kamati za harusi na mazishi, ngoma, kulewa, kuzini, kuiba, kulewa na kujisifu kwa wizi.
Mfrghhhytuknamashuzi.
Mkuu sisi tunamudu zaid kucheza ngoma tu basiKatika vitu tulivyofail Africa ni kujiongoza wenyewe, kila unaemuamini anaharibu tu, kuna ka shida huku.
Tupeni muda miaka 5 hivi sasa tunatumbua majipu tu mambo ya viwanda baadaeMKUU, kwani shida ni ndogo - ni kubwa sana mkuu! Sasa sijui tatizo ni kutojiamini, mindset, kupenda penda matanuzi na vyeo - inasikitisha sana!
Jaribu kuwasikiliza mikakati yao ya kufufua viwanda sijui kujenga vipya, wanaonekana hawana strategy yoyote viwanda vipi vipewe kipaumbele kwanza - hii in hatari sana, ukiwasikiliza sana unakuwa na wasi wasi kama kuna litakalo tekelezwa kwa ufanisi - majigambo yamezidi mno hata Marshal plan ya kuijenga upya Ulaya baada ya vita vya pili haikuwa hivi - Dk.Magufuli awe makini sana hasa hasa kwa wale ambao wanaonekana wana majibu on their fingertips kuhusu ifufuaji wa viwanda vyetu - utasikia mengi mengine ambayo ni too good to be true which's TRUE, kaeni na Wachina ,WavietNam na Wathailand wasikilizeni walitumia strategy gani katika masuala ya viwanda vidogo na vikubwa.
Huyu jamaa anaandika kiswahili cha wapi,na nadhani wewe utakua unanufaika sana na hawa jamaa,hivi zile optic fiber zao zimewekwa kwa standard inayotakiwa?au unaandika kulinda ugali wako mkuu?hivi unafahamu kuna maeneo fiber imechimbiwa hata kuku akipaa chini anaifukua?unafahamu namna waswahili walivyopokwa kazi zao ambazo nina amini 100% wanaziweza na hazihitaji wageni ila pale hali imekua tofauti?Watanzania tuache kutetea mambo ambayo yapo wazi sana,na alieandika hapa najua atakua yupo hapo au amepita hapo,na ni kweli tupu kwa hayo aloyaandika,kama wataamua kuvamia pale ni watakuta hayo aloyaandika na tena ni mengi zaidi ya hayo.Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.
Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!
TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
Hapo ndipo alipochemkia sasa naona kama ana loose tuTatizo kubwa ni kuwa aliingia na nguvu kubwa kupambana na Idara ya Uhamiaji badala ya kushirikiana nayo. Sasa ma-gap kibao!