Halotel (Viettel) yaigomea Serikali ya Tanzania

Halotel (Viettel) yaigomea Serikali ya Tanzania

Me kama TTCL uwa inaniuma sana, nimekua nikiisapoti kununua vifaa vyake lakin mwisho wa siku naishia kurundika ndani, Siku walionikatisha tamaa nilienda kuulizia kifaa kinachotangazwa kwenye matangazo yao, na muhusika kuniambia hakijui na hawajawahi kukiona pale ofisini kwao,
 
Mbona mnalialia? Chapeni kazi!
Mashirika kibao yanaongozwa na wabongo na takriban yote yako hoi kama sio mfu.
Leo tusingekuwa tunanunua matairi ya mtumba kama General tire haikuwekwa chini ya Wabongo. Leo tungekuwa hatuvai mitumba kama viwanda vyetu havikuwekwa chini ya Wabongo. Chapeni kazi kwenda mbele, juhudi zenu zitawafanya muonekane.

Acheni kulilia vya kunyonga.
Hilo ndo muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maana watanzania na sisi wavivu hata hao viettel wamesaidia sana ajira 2000 si mchezo makampuni mengi sana anajiamulia nini yafanye maana hii nchi wameiona ya mabwege bwege
 
Katika vitu tulivyofail Africa ni kujiongoza wenyewe, kila unaemuamini anaharibu tu, kuna ka shida huku.
We jiulize kwanini katika mabara yote sita Africa pekee ndo kuna watu wana ngozi nyeusi [emoji67][emoji67] though i love being black ila kuna katatizo huku kwenye hii rangi
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
Well said japo umeongelea point moja tu ya mleta uzi - localisation of posts. Suala la vibali sijui unalisemeaje? Au kwa vile hawa jamaa ni 'mfano wa kuigwa' basi wanapata exemption ya kuwa na valid permits?
 
We jiulize kwanini katika mabara yote sita Africa pekee ndo kuna watu wana ngozi nyeusi [emoji67][emoji67] though i love being black ila kuna katatizo huku kwenye hii rangi
Kuna kitu kimejuficha, kila nyanja tunafanya vibaya, unakuta kampuni akipewa mgeni anapiga kazi akikaa mbongo matatizo lukuki.
 
Hivi ni vigezo gani hutumika kuchagua mawaziri?maana naona kama huyo mama yuko pale kama ushahidi tu
Tatizo kubwa ni kuwa aliingia na nguvu kubwa kupambana na Idara ya Uhamiaji badala ya kushirikiana nayo. Sasa ma-gap kibao!
 
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience tujifanye tunaweza ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa ambayo hiko very efficient chini ya nwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasuliana kwa kutumia services/network yao.

Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu sio kufanya kazi, kama tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes so hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia sasa tatizo liko wapi, Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!

TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao in dismal kabisa - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?


Ulichokiongea kwa upande mmoja kina mantiki, lakini mleta mada hakuna sehemu kasema wafukuzwe ila kunamaeneo watz wanafiti na kuna watz wengi wachapakazi kama uongozi utakuwa imara tu, lakini kuna swala la kuisha vibali au kufanya kazi tofauti na maombi uliyoombea kibali chako hilo ni kosa kisheria na hatuhitaji kupindisha sheria kisa umuhimu wa kazi zake, lakini kuna kitu umesahau mashirika mengi ya tz yamekufa siyo kwa uvivu wa mtz bali watu kuingiza siasa kwenye mambo muhimu mfano shirika la reli wameliua ili wafanyabuashara wa maroli wapate kazi hivyo serikali inakuwa hawalijali shirika mpaka inafikia miundombinu inakufa, ttcl haiwezi kuendelea kwa kuwa wanasiasa wanahisa kwenye mitandao ya tigo,airtel na voda, kumbuka watu walikuwa wanafungilia maji bwawa la mtera ili umeme uwe haba watu wauze majenereta na mafuta na solar power, wanahujumu bomba la mafuta ili wasafirishe kwenye maroli ili linaandikwa linaenda zambia lakini linaishia chalinze petrol station na watu wanaenda boda kugonga muhuri tu
 
Mtandao unaspeed ya hatari saiz MB nazo naona kama zimeongezwa ivi 499 Mb 330
 
THREAD ZA KIPUUZI KAMA HIZI NASHINDWA KUELEWA ZINAKAAJE MPAKA SASA...UNAJUA MAKAOMAKUUYA IMMIGRTN KWANINI USIENDE HAPO....

AMA UMETUMWA NA NDUGU ZAKO WAMITANDAO MENGINW IMEKULA KWAKO KILA FAMILIA INA KIFURUCHI CHA CHUO HALOTEL MPAKA VIJIJINI...JIPANGENI UPYAA HAO N NOMA NA WANAWAONDOA SOON KWENYE ULIMWENGU WA MTANDAOO
 
umeongea mkuu vibali waende migration halotel wanapiga kazi net tunachezea kila kitu nomaaaa
 
Waacheni wa Vietnam wafanye Kazi. Wabongo hatuna ozoefu sana sana tuende nje tukasomee turudi na kuomba Kazi. Longo Longo tuache hizi Kazi hatuzimudu uzoefu na elimu hatuna.
 
Mitanzania mijizi, mivivu, haifanyi kazi bila kusimamiwa na hata ikisimamiwa inafanya kazi 10% ya Mvietnan au Mhindi anaefanya kazi hiyo hiyo.

Mitanzania kama kazi haina "dili" aka kuiba kazini wanaona hiyo si kazi na bora waingie mitaani kuomba omba.
Niknnjnnnnnnnnbvfdcvh.
 
Speed ya konyoo achakabisaaa m kilamtu hme analine zachuo utatupenda had I mtuyuko chumbani ukienda chooni unampigia MWENZIO jaman nikochoon msije
 
Shikamooooooo Sana'a popote ulipooo waambieehaoooo wa
Mitanzania mijizi, mivivu, haifanyi kazi bila kusimamiwa na hata ikisimamiwa inafanya kazi 10% ya Mvietnan au Mhindi anaefanya kazi hiyo hiyo.

Mitanzania kama kazi haina "dili" aka kuiba kazini wanaona hiyo si kazi na bora waingie mitaani kuomba omba.
Niknnjnnnnnnnnbvfdcvh.
waibeeekwakifichoo i atii yatumbuliiwe sirinii loh
 
M NASEMAA KAMA KWELI NYIE WANAUME NENDEN IMMIGRATION .....WAACHENI WANAUME WAPIGE KAZI MPAKA KWENYEMABASI TUNANUNUA LINE MARKETING YAHAJA NYIE NA MITANDAO YENU BAKINI USWAZI MKISHIKANA SHIKANA MAOFISINI WAACHENI WAVETNM WAPIGE KAZI
 
Back
Top Bottom