Mashirika mangapi mmeachiwa mmefilisi na kuyauwa? Mali za wenzenu Ndio zinawatoa roho waacheni wavietnam wapige mzigoHuyu jamaa anaandika kiswahili cha wapi,na nadhani wewe utakua unanufaika sana na hawa jamaa,hivi zile optic fiber zao zimewekwa kwa standard inayotakiwa?au unaandika kulinda ugali wako mkuu?hivi unafahamu kuna maeneo fiber imechimbiwa hata kuku akipaa chini anaifukua?unafahamu namna waswahili walivyopokwa kazi zao ambazo nina amini 100% wanaziweza na hazihitaji wageni ila pale hali imekua tofauti?Watanzania tuache kutetea mambo ambayo yapo wazi sana,na alieandika hapa najua atakua yupo hapo au amepita hapo,na ni kweli tupu kwa hayo aloyaandika,kama wataamua kuvamia pale ni watakuta hayo aloyaandika na tena ni mengi zaidi ya hayo.
Mleta mada ni sawa na wale wshauri wa sukari waliompelekea habari za sukari, sasa tunaisoma namba!Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.
Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali
Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
sio kweli mkuu,MB 600 kwa wiki kwa 500/= ni chache? anyway labda tumetofautiana aina za line za halotel coz mimi natumia ya mwanachuo lakini sisomi chuo.Ni kweli, bali ghali mno! Vi MB vichache sana
Nunua line ya chuo, piga *148*55# unga jnternet week kwa tshs500 utapewa mb600 then rudia kuunga kadri ya uwezo wakoNi kweli, bali ghali mno! Vi MB vichache sana
mkuu umefanya turning point ya huu mjadala.. nakuunga mkono 75%,Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience, tujifanye tuna uwezo wa ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa, si hilo tu vile vile wako very efficient chini ya mwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima, imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasiliana kwa kutumia services/network yao.
Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu si kufanya kazi, kama Waswahili tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes si hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano na masuala ya kuwa Internet Service Provider - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia, sasa tatizo liko wapi? Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao! wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!
TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao ni dismal kabisa, wanatangaza hasara tu - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.
Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali
Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
mkuu umefanya turning point ya huu mjadala.. nakuunga mkono 75%,
yapo makosa na figisu ndogo ndogo ila ki msingi halotel wamejitahidi na hatustahili kuwalaumu kwa serikali kushindwa kutimiza wajibu wake kuwatia mbaroni whoever anayeishi ama kufanya kazi kinyume na taratibuThere is no turning point, Kama Vibali vimeisha na vingine vime expire then tuko pale pale!!!!!!!!
Tumia line ya chuo, bando gharama nafuu sanaNi kweli, bali ghali mno! Vi MB vichache sana
Njoo nikuuzie line ya halotel ya chuo, kuna bando kubwa za bei nafuu sana shilingi 1500 unapata 1gb per week unajiunga popote pale, mimi huwa natumia its fast and cheapKweli kabisa mkuu mb wanagawa chache sana yani hakuna hata yenye unafuu
Mara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.
Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali
Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
TTCL imeuawa na viongozi wa nchi hii hasa awamu ya tatu.Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience, tujifanye tuna uwezo wa ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa, si hilo tu vile vile wako very efficient chini ya mwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima, imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasiliana kwa kutumia services/network yao.
Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu si kufanya kazi, kama Waswahili tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes si hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano na masuala ya kuwa Internet Service Provider - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia, sasa tatizo liko wapi? Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao! wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!
TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao ni dismal kabisa, wanatangaza hasara tu - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?
TTCL imeuawa na viongozi wa nchi hii hasa awamu ya tatu.
Huu ni uzembe kazini, naona mnabanwa na wavetnam sasa mnaleta proganda, fanyeni kazi acheni majunguMara tu Baada ya kuingia madarakani serikali ya awamu ya tano ilisisitiza kuwa wageni wanaoruhusiwa kufanya kazi nchini ni wale tu ambao nafasi zao hazina wataalam wa kizalendo wanaoweza kufanya kazi za nafasi hizo.
Cha ajabu kwa kampuni ya mawasiliano ya Halotel (Viettel) sio tu kwamba asilimia kubwa ya raia wa kivietnam wanafanya kazi ambazo zinaweza kufanywa na watanzania, bali wengine hawana vibali vya kufanya kazi nchini, wale walio na vibali kazi wanazofanya ni tofauti na vibali vyao. lakini kubwa zaidi ni kwamba wengine vibali vyao vimeisha muda wake. Jambo hili ni wazi kampuni hii imegomea maagizo ya Serikali
Sasa ninapojiuliza maswali ni wapi serikali imeshindwa kusimamia maagizo yake. Hawa raia wa kigeni kutoka Vietnam wako kila mkoa ziliko Branches zetu, na mikoa hiyo inazo ofisi za uhamiaji sasa ni kwa nini agizo la serikali halitekelezwi !!!!!
Wakati mwigine Watanzania tupunguze mambo ya fitina, HaloTel sio kampuni ya kufyatua matofari au kutengeneza fanicha ni Kampuni inayo deal na HiTech uwezi kuleta mambo ya ubabaishaji na half cooked experience, tujifanye tuna uwezo wa ku-run kampuni ya Wavietnam ambayo ni mfano WA kuigwa, si hilo tu vile vile wako very efficient chini ya mwaka mmoja imetandaza optic fiber karibu nchi nzima, imejenga minara na kuinstall vifaa vya mawasiliano in a record time na Wateja nchi nzima wanawasiliana kwa kutumia services/network yao.
Leo hii tunataka Wavietnam wa kampuni ya HaloTel watimuliwe ili waswahili warithi vyeo vyao, akili zetu zote zipo kuwaza vyeo tu si kufanya kazi, kama Waswahili tungekuwa na uwezo uliotukuka TTCL ndio ingekuwa inaongoza nchini kwa nyanja za mawasiliano, oh yes si hiko fully manned na wazawa? Twambie ni kitu gani kinacho endelea pale zaidi ya kulinda mkonga wa nawasiliano na masuala ya kuwa Internet Service Provider - ubunifu wa kibiashara kwa kujitanua kwenye voice sekta in mdogo sana wakati 4G ni all "IP" tekinolojia, sasa tatizo liko wapi? Wavietnam si wanatumia vifaa vya mawasiliano wanavyo nunua Ulaya, China, Sweden nk Wavietnam hawahudi vifaa vya nawasiliano nchini mwao, je TTCL wanashindwa nini kununua vifaa hivyo kwenye open market wakafunga network ya kwao nchi nzima, WavietNam wameonyesha mfano, je, sisi Waswahili tumejifunza nini kutoka kwao! wamewezaje ni sisi tunashindwa tunaishia kulalama tu ubunifu hatuna kabisa!!!
TTCL hiko mbioni kupunguza wafanyakazi, wanao baki wanata kujipangia mishahara mikubwa tu wakati uzalishaji wao ni dismal kabisa, wanatangaza hasara tu - swali ni: tatizo lao ni nini? Jibu ni rahisi - tunafanya kazi kwa mazoea, sasa weakness zetu ndio mnataka kuzihamishia HaloTel - kwani tatizo liko wapi tujaribu kuwapeni keypost waswahili WA replace wa Vietnam tuje baada ya mwaka kuwa check mnavyo endesha HaloTel kama hatutakuta mnakwenda kuomba ruzuku Serikalini kuendeshea Kampuni, siwasemi vibaya - lakini haya si ndio tunaya shuhudia TTCL, kitu gani kinacho weza kutupa matumaini kwamba nyinyi mtakuwa tofauti na
wenzenu baada ya kukabidhiwa HaloTel?[
/QUOTE]
Loohh! Umeongea kww hasira sana.
Unafikiri ni mbinu gani zitumike kuwafanya watanzania wabadilike na wapi tulikosea mpaka tumefikia hapa tulipo.
Kwa sababu mimi ninaamini Tabia hizi za watanzania zitakuwa zimesababishwa na sababu fulani fulani ambazo zimetufanya kuwa watu tusioweza kujisimamia wenyewe?
Umeongea point ila kwenye kua expect sio kua na degrees au masters ila ni kubobea kitu fulani yani kwa wenzetu wana kozi za kitaalamu ukipiga izo ndo unakua expert wa jambo ilo aijalishi una diploma au certificate kama imekukela ilo na kuona sio sahihi bali sio sawakama wanahusiana na CCM , basi tena nimekatashauri la kutokujiunga nao...!
Immigration fanyeni kazi yenu. Sio HALOTEL, tu makampuni mengi, wameajiri wageni bila kufuata taratibu... Na mara jingi utakuta mtu anakidiploma kutoka huko kwao, hapa anaitwa expert ili kukidhi vigezo vya kupata work permit! Wakiingia maofisini kazi yao kubugudhi wazawa!
Ifike sehemu serikali iyaone haya.
Mwisho, watanzania tuchape kazi tuache porojo maofisini, ndio maana tunaletewa wageni, coz tunaonekana hatupo serious na kazi..!