Halima Mdee na team yake ndani ya Ukerewe

Halima Mdee na team yake ndani ya Ukerewe

Naskia kesho watakuwa mitaa ya home MAGU, Napenda kuwakaribisha sana pamoja na kwamba sitakuwepo lakini nimetoa gari yangu kwa ajili ya kuwapokea hapo Masanza.VIVA CDM

Ubarikiwe sana Kamanda tunapenda watu kama nyie! Hapo Masanza kona iwe ngome ya Chadema!
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.

Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.




UPDATES

Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli


UPDATES 2

Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...

Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi

Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
attachment.php

Go! go! go! CDM goooo!
 
unaona gele mkuu hapo hamna cha FUSO na wali ni full nguvu ya umma imependezaje, CCM na wawekezaji CDM na wananchi

Kunti Yusuph kabla ya kujiunga Chadema alikuwa anavaa Hijab muda wote.. Sasa hivi hijab siioni, Atakuwa kashabatizwa sasa hivi
 
Kunti Yusuph kabla ya kujiunga Chadema alikuwa anavaa Hijab muda wote.. Sasa hivi hijab siioni, Atakuwa kashabatizwa sasa hivi

Lile gwanda la Chadema na Hijabu wapi na wapi mkubwa! Wakati wa Hijabu ni wahijabu vua gamba vaa gwanda!
 
laiza mtoto wa magamba MaCCM, unadhani ni familia ngapi za Watanzania wenye TV!!
Na waangalie , magamba na wake wabebana na kucheza kiduku???
Katiba gani ya mafisadi Chenge na Sita???
Hapo ni Noooooooooooo!!
Hadi mwisho!!
 
Last edited by a moderator:
Wanatanzania tunataka mageuzi ya kweli kanda ya ziwa mnatisha hakika taifa litakombolewa kupitia ukerewe , mwibara, Bunda, Musoma, Tarime, Butiama nk. Kazeni kamba tuko nyuma yenu Chadema.
 
ndugu zangu cdm/ukawa mnavo fanya sio vizuri, mnabana mno jaman, kwa mwendo huo mtakuja kuwaua kwa pressure magamba
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.

Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.




UPDATES

Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli


UPDATES 2

Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...

Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi

Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
attachment.php

Mashabiki wa cdm ndo wapiga kura wa CCM,,endeleeni kujifariji...
 
Trezo hao sio Wakurya ni Wakerewe, kwao Gretruda Mongela na Pius Msekwa!!
Upoo.??
 
Nguvu ya ccm inategemea sana wanawake, nguvu ya upinzani ipo kwa vijana wa kiume, ni wakati wa mdee na wenzake kuwaonyesha wanawake wenzao kwamba wanaweza kupata matumaini mapya nje ya ccm

Umenena vyema kamanda! Ni kweli ccm wanasuppprt kubwa ya wanawake; ni muda muafaka xx wa upinzani kuwatumia Mdee et al kuwashawishi wanawake wenzao kuwapa support upinzani! Vile vile bavicha wasibwete waendelee na mapambano 2015 c mbali! Hapo ccm itakuwa imepgwa bao la kisigino!
 
Back
Top Bottom