Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,566
safari njema kamanda Mungu akulinde najua mafisadi leo wataficha sura zao chooni kuogopa aibu wataumbuka sana
UKAWA NI SUMU YA KUIDHARATISHA SERIKALI YA CCM MADARAKANI 2015
Mbona unalalamika sana kumbe kupika ni kazi ngumu ndo ajira yako pole sana vp leo umeshapika msosiMwezi umeshaisha hawa wanawake hawajarudi majumbani kwao kuangalia familia. Au hawana familia?
Maccm yanachanganyikiwa sana, yakisikia habari hizi.
Go on Mdee,
Sambaza elimu watatambua tu badae.
Mwezi umeshaisha hawa wanawake hawajarudi majumbani kwao kuangalia familia. Au hawana familia?
hizo picha zimekuuma sana ndo makamanda wa ukweli leo mtaficha sura zenu chooni ni aibu tupuYaani wewe ni duanzi kweli kweli....ukaingia ndani ya boti ili kupiga picha tu ....tutupie picha za mikutano yake ndio tutatoa tathmini kama kweli watu ni nyomi au kiduchu....
Kwa jinsi ninavyofuatilia milkutanao ya Halima Mdee CCM ipo hatarini.....
hii ni ishara mbaya kwa ccm