Munabusule
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 976
- 491
Ki ukweli ukimtoa Marehemu Bib Titi Mohamed hapajawai kutokea mwanamke yoyote aliyewai kufanya siasa za kisayansi na shupavu zenye akili na weledi katika aridhi ya Tanzania kama kamanda Mdee afanyavyo.
Watu wakielezwa kuwa CDM ni chama kinachofanya siasa za kisayansi wanabisha haijawahi kutokea ktk Karne wanawake wakasimama majukwaani nguvu zao lakini kupitia chadema tunaona u moja wa wanawake wakiandaa Safari wao, majukwaa wao na mikakati yao.Sophia sim a ataweza?