Halima Mdee na team yake ndani ya Ukerewe

Halima Mdee na team yake ndani ya Ukerewe

duh ccm mav....... yanawapiga chpni na kurudi kwa uoga walonao. ukawa ndo habari ya mujini bhana. tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu inshallah
 
Safi sanaaaa,kwa asiyejua akaangalie video ya juzi wakati wakiwa Mz mjini atautambua mziki wa Chadema ..ccm wanajiharishia tu

Kamanda ule mziki wa Mwanza ilukuwa hatari! Niliona maandamano ya wananchi kutika vile viwanja vya furahisha usiku yani nililala usingizi mlaini sana! Halima Mdee ni moto wa kuotea mbali usipime!
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.

Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.




UPDATES

Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli


UPDATES 2

Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...

Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi

Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
attachment.php

kama vile pichani nimemuona rafiki yangu kajigo maugo,tungarazya,muhabi,lwitakubi etc....hataree makamanda..bila kumsahau masika
 
Sipati picha uko Nyumbani Nasio,Murutungulu,wanavyomsubili kwa hamu sana.

Hapatatosha! Wambie wafike Kagunguli, Hamkoko, Mahande, ukara, Ilangara, nipe na vijiji vingine! Raha sana wakerewe mnaakili sana Chadema mwendo mdudu!
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.

Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.




UPDATES

Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli


UPDATES 2

Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...

Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi

Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
attachment.php

Hongereni sana makamanda tupeni raha!
 
Duh habari za namna hii nilikua nimezimis sana hapa jukwaani,
 
Mdee alipofuatwa na wanawake kumshawishi agombee nafasi hiyo, alilia machozi. Nilijua wamemtia moyo kwa kutambua mchango wake kwa chama. Mdee ni mpambanaji asiyejali maslahi binafsi. Niliwahi kukutana na Mdee Katika kijiji kimoja huko Dodoma porini sana, kijiji ambacho tangu uhuru hakuna kiongozi wa kitaifa aliyetembelea,
lakini Mdee alifika na tímu yake na alilala huko. Matokeo yake kijijini hapo huwaambii kitu na Chadema. kwa ufupi, namtabiria makubwa H Mdee ktk siasa za Tz.
 
Duh habari za namna hii nilikua nimezimis sana hapa jukwaani,

Hahahaha! Ni burudani sana wakerewe wanajipa raha sana leo na Chadema yao. Nauli za michumoko na bodaboda kwa ukerewe ni karibu na bure.
 
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.

Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.




UPDATES

Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli


UPDATES 2

Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...

Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi

Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
attachment.php

Huyu Kunti Yusuph mbona hajavaa HIJAB? Au ameshabatizwa? Asikanyage Zanzibar abaki huko huko Ufipa..
 
Huyu Kunti Yusuph mbona hajavaa HIJAB? Au ameshabatizwa? Asikanyage Zanzibar abaki huko huko Ufipa..

unaona gele mkuu hapo hamna cha FUSO na wali ni full nguvu ya umma imependezaje, CCM na wawekezaji CDM na wananchi
 
Back
Top Bottom