Halima Mdee: Kuna dhamira ya kutaka kumfunga Sugu

Halima Mdee: Kuna dhamira ya kutaka kumfunga Sugu

Mwanasheria anapoingilia mahakama, tena kwenye kesi inayoendelea.

Hata kama taaluma imeonesha ushahidi unamuelemea Sugu, alichotakiwa kufanya ni kuongeza nguvu na si kufanya hivi alivyofanya.

Siasa inapozidi nguvu ya weledi watu tunakuwa mahayawani.

Kazungumzia suala la dhamana ipo wazi je hilo ni uongo?
 
Nitaomba uraia wa Marekani nikaishi huko maana huko hata ukiandika "Fire and Furry" Donald Trump within the White House NSA, CIA, au FBI hakuna anayekufatilia.
 
Unawaandalia mazingira magumu wanaokufuata ni kama ambavyo mwenyekit wa ccm analia na makinikia kuna watu waliharibu ila wewe mnufaika wa huu mfumo mchafu huwezi kuona baadae wanao watasaga meno..
Mwenyekiti wa ccm na makinikia wapi na wapi? Ndo maana tunasema mnashindwa kutenganisha kofia ya urais na mwenyekiti wa ccm.
 
Kazungumzia suala la dhamana ipo wazi je hilo ni uongo?

Mawakili wake wameshindwa kwa hoja mahakamani. Kinachohitajika ni hoja za kisheria kuzipinga hoja za mawakili upande wa washitaki.

Kesi iliyo mahakamani inaongelewa mahakamani.
 
Kwa hiyo ww ndo unashinikiza Mahakama isimfunge???
Nyambafu!
Kurudia uchaguzi Mbeya Mjini gharama yake ni bililoni mbili. Hizi hela hatuna Sugu aachiwe huru, uchochezi? Nani kamchochea. Mlidhani kuendesha nchi ni kama familia. Sasa mmehama kwenye ajenda mmebaki kushambulia wapinzani.
 
wacha afungwe tu, amezidi kuropoka!
Watu kama wewe mpo wengi sana hii nchi! Uzuri mmoja ni kwamba watu wa aina yako kila mmoja kwa njia yake yatamfikia tu. Mlikuwa wengi mkidai serikali sikivu, serikali isiyo legelege lkn nashangaa mnalalamika vyuma vimekaza sijui mnajuta etc etc hata wewe bado kitambo kidogo utajitambua. Wakati ukuta.
 
Jaji Mkuu wa Sasa si wale vigeugeu.
Juzi umeona alivyomchamba Bashite????

Baada ya Bashite kusema ana timu yake ya wanasheria sijui watu wake waelezee matatizo yao atatatua basi jaji Mkuu akaibuka akasema *Ole mwanasiasa ama kiongozi kuingilia mahakama, Tena atachukiliwa hatua za Kisheria* sasa baada ya hapo sijamsikia Bashite kama anawndelea na mpango wake ama la
 
Huu uzi umekiuka sheria za nchi kwa kutaja hukumu kwa kesi ambayo bado iko mahakamani.
 
Mh. Mdee umesema kweli, na sasa naanza kumwamini yule mdada machachari sana alisema hilo majuzi, tena miezi 6 ili ubunge wake ukome na wauchukue kwa nguvu!
 
Yaani akiachwa huru hii tabia ya wabunge kujiona wako juu ya Sheria haitakoma, halima mdee tulia dawa iwaingie hii Nchi kwa sasa iko huru sio zama za kikwete matusi ya wanasiasa hayakuwa sehemu ya kosa.

Kwa usawa wa Magu Sheria lazima ifanye kazi, kwa hiyo acha pupa na kuingilia muhimili wa Mahakama wacha ufanye kazi yake .
Hukutakiwa kuishi karne hii ya 21, mwisho wako ulitakiwa uwe karne 15 nakuapia! thinking capacity yako kuku wa kienyeji ana nafuu.
 
Nayo hii ni nchi au nyumba ya mtu?

Huu mchezo hauhitaji hasira! Ukikasirika tu umeliwa kichwa. Kama hii ni nyumba ya MTU basi Sugu ni mbunge wa chooni.

Demokrasia inahitaji utawala wa sheria. Demokrasia ina lengo LA kujenga jamii iliyostaarabika yenye kufuata taratibu zilizowekwa na kukubaliwa na wengi.

Kama huthamini utu wako, huthamini utaifa wako una uhalali gani wa kupigania demokrasia usiyoifahamu.

Lakini sishangai wengi wetu kutokana na uelewa wetu tunajiaminisha kuwa hisia zetu ndio has a maarifa. Matokeo yake tunapigania hamu zetu tukiamini tunapigania demokrasia.

Hamu zetu zisipotokea basi tunalalamika haki na demokrasia imepuuzwa.Watu wa aina yetu ndio ile ya wanaowapiga wanawake pindi kutongoza kwa kunapokataliwa.
 
Huu mchezo hauhitaji hasira! Ukikasirika tu umeliwa kichwa. Kama hii ni nyumba ya MTU basi Sugu ni mbunge wa chooni.

Demokrasia inahitaji utawala wa sheria. Demokrasia ina lengo LA kujenga jamii iliyostaarabika yenye kufuata taratibu zilizowekwa na kukubaliwa na wengi.

Kama huthamini utu wako, huthamini utaifa wako una uhalali gani wa kupigania demokrasia usiyoifahamu.

Lakini sishangai wengi wetu kutokana na uelewa wetu tunajiaminisha kuwa hisia zetu ndio has a maarifa. Matokeo yake tunapigania hamu zetu tukiamini tunapigania demokrasia.

Hamu zetu zisipotokea basi tunalalamika haki na demokrasia imepuuzwa.Watu wa aina yetu ndio ile ya wanaowapiga wanawake pindi kutongoza kwa kunapokataliwa.

Ulichoandika hapa ni mipasho tu hamna hata point


Halima mdee kasema dhamana ipo wazi kwa nn asipewe? Hilo ni swali la kwanza.

Mwanasheria wa serikali kasema yupo ndani kwa usalama wake kapata taarifa atauliwa

Kesi hiyo ilikuwepo toka mwaka jana sugu akiwa nje kakamatwa tarehe 16 je angekufa kabla ya kwenda mahakaman mwanasheria hizo taarifa za usalama wake Angezificha toka kwa watu wasiojulikana waliomwambia na anawafaham? Kwa nini alisubilia had aende mahakama ndo ajali usalama wake wakati alikuwa nje hakujali? Dogo watu wana akili sana achana na michezo ya kitoto ya serikali ya magufuli hata chizi anajua hii michezo ya kijinga
 
Mambo mengine yanayoendelea katika Taifa letu si tu yanasikitisha bali yanashangaza sana sana....
 
hongereni jf member kwa kumuamsha uyu mama, juzi niliona thread apaapa jukwaani ikimsema mh mdee kuhusu kukaa kwake kimya kwa muda mrefu nadhani ujumbe ulimfikia.
 
Back
Top Bottom