Kunenepa kwa Halima sio hoja?Hizo ndio hoja za vijana wa ccm lumumba
Go back to school Dude
Swissme
Msukuma alienda kuleta fujo mgodini kesi yake ipo?
Kivuko kibovu na uuzaji wa nyumba za umma sio? Mungu ajua hakuna wa kuishi milele huu utukufu wa ulimwengu unatupumbaza sana ogopa kufukiwa futi saba ardhin nduguSugu kakanyaga Bomu kumtukana Rais Mzalendo bila ya kujua anarekodiwa na Askari Mzalendo !
Lazima afungwe this time ndio sababu Mwendesha mashtaka wa Serikal kaona unatosha mashahidi wawili waliobaki wasitoe ushahidi
Kulopoka nikosa nikifungu gani hicho nipe elimu ewe msomi wa tanzania elimisha mimi nitoke kwenye tope.wacha afungwe tu, amezidi kuropoka!
Kesi ya kuwakusanya akina mama na kuandamana kinyume cha utaratibu mume wa naniliu ipo?Kesi ya john heche kuwakusanya watu na kuleta fujo mgodi ipo?[HASHTAG]#Kataa[/HASHTAG] kuwa karaiNisingependa kujikita zaidi kwenye lugha za makondom na makarai lugha za mkapa na yule dogo za kuwalaghai wafuasi wa ccm
Kesi ya msukuma alipoenda kuleta fujo mgodini na kuhamasisha raia kuzuia shughuli za uzalishaji kule ipo?
Mmmh umezidisha sana mkuu, futi saba!Kivuko kibovu na uuzaji wa nyumba za umma sio? Mungu ajua hakuna wa kuishi wa milele huu utukufu wa ulimwengu unatupumbaza sana ogopa kufukiwa futi saba ardhin ndugu
tatzo siyo shule wanajua kabisa ukweli ila hawana namna njaa itawauwa.Hizo ndio hoja za vijana wa ccm lumumba
Go back to school Dude
Swissme
Alafu wewe unapata nini akifungwa nyie ndio mkiona MTU ana mafanikio mnamchukiawacha afungwe tu, amezidi kuropoka!
Kesi ya kuwakusanya akina mama na kuandamana kinyume cha utaratibu mume wa naniliu ipo?Kesi ya john heche kuwakusanya watu na kuleta fujo mgodi ipo?[HASHTAG]#Kataa[/HASHTAG] kuwa karai
huu utawala wa mshindwa shida huyu baba naaamini kweli anawazimu kama watu wanavyosema aliwahi tibiwa milembe huwezi kuendesha nchi kwa mtutu wa bunduki na kunyanyasa binadamu kwa kukiuka haki za binadamu ukijuwa kabisa waliofanya hivyo walikufa vifo vya aibu walisokomezwa majiti makalioni wengine wakafa nje ya nchi zao wengine wakakamatwa kwenye mashimo kama panya ,Magufuli he should watch it atakuja kujuta maisha yake yoteKesi ya kuwakusanya akina mama na kuandamana kinyume cha utaratibu mume wa naniliu ipo?Kesi ya john heche kuwakusanya watu na kuleta fujo mgodi ipo?[HASHTAG]#Kataa[/HASHTAG] kuwa karai
tofautisha msanii na kiongozi wa wananchi Halima anaongoza watu inatakiwa aonyeshe tabia njema mbele ya jamii mkuu