Halima Mdee: Bold and Beautiful!

 

Good Idea... Mbatia please kama utasoma hii msg nakuomba mkae na Halima mkubaliane kuachiana hilo jimbo ili mradi CCM wapigwe chini. Otherwise mnakatisha tamaa wananchi...
 
[COLOR=red said:
Kanyafu Nkanwa;[/COLOR]1100715]katika wapinzani wenye akili,, huyu pia namkubali, yaani kama nilivyokuwa namkubali Slaa alipokuwa Mbunge.


Kanyafu Bwana!
Nahisi umekafikiria kalivyo hasa nikiangalia kasura kake , he.....udenda tu
Umenikumbusha vile viembe fulani kule kwa Mwakyembe!
 

 Halima James Mdee
alizaliwa Machi 18, 1978 katika Kijiji cha Makanya, Wilaya ya Moshi Vijijini, ni mtoto wa mwisho katika familia ya Profesa James Mdee ambaye alikuwa mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na mama yake alikuwa mwalimu wa shule ya chekechekea.
Alianza kusoma elimu ya msingi katika Shule ya Msingi Mlimani jijini Dar es Salaam mwaka 1985 na kuhitimu mwaka 1991. Alichaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari ya Wasichana Zanaki mwaka 1992 na kuhitimu kidato cha nne mwaka 1995.

{Pichani Kamanda Halima Mdee akichukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la kawe}
Mwaka 1996 hadi 1998 alisoma kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilakala mkoani Morogoro na 1999 alijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako alisomea sheria na kuhitimu mwaka 2003.
Aliajiriwa na Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana mwaka 2004 akiwa Ofisa Maendeleo kama mwanasheria mpaka mwaka 2005 alipoamua kuacha kazi na kuingia katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu, ambako alishiriki kuwapigia kampeni wagombea wa CHADEMA kabla ya kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu.
Mdee alizaliwa katika familia ya Wakristo na alibatizwa na kuitwa Theodosia, hata hivyo anatumia zaidi jina alilorithi kutoka kwa bibi yake mzaa baba, Halima.
Ukoo wake ni waumini wa dini ya Kiislamu isipokuwa baba yake na kaka yake ambao walibatizwa na familia yao ikaridhia wawe Wakatoliki kama shukurani kwa kanisa kutokana na msaada mkubwa lilitoa kwa familia hiyo ambao Mdee alikataa kuueleza.
Mbali na ubunge, pia ni Mjumbe wa Baraza Kuu Taifa la CHADEMA, na ofisa katika kurugenzi ya sheria.
 
the rare times when beauty and brains are found in the same place.she was always very composed toka anasoma sekondari.si mtu wa kukurupuka hata kidogo!go gal,pamoja sanaaaa
 


Kirangaaaaa!
 

Kuna wakati alitoka vinundu vingi usoni shida ilikuwa nini?
 
Mzuri! hana sura ya uongozi Ameka ki bongo Flava zaidi kama SUGU ! namshauri ASUBIRI KWANZA MUDA WAKE UTAFIKA

Wewe Wasema,
LAKINI MIMI NITAMPA KURA maana katika kuchagua mwakili siangalii chama ila naangali mwenye uwezo katika wale wanaogombea, hivyo kwa wagombea wa kawe wote, mimi naona yeye ni Bora
 
halima mdee akiwa kazini wakati wa kampeni zinazoendelea sasa(picha kwa hisani ya ippmedia).
 
Kuna wakati alitoka vinundu vingi usoni shida ilikuwa nini?





alitumia muda mwingi kutetea haki za watu wa kawe badala ya kujipodoa!!!(huo mtazamo wangu tu usijali sana!!!)
 
halima mdee akiwa kazini wakati wa kampeni zinazoendelea sasa(picha kwa hisani ya ippmedia).


Ewaaa nimeipenda hii picha anaonekana yuko kikazi zaidi.
 
She is an Angel, kanyimwa sauti tu..ila kwa CHADEMA aaaahhhhh, mie nampenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…