Katika hali isiyotarajiwa Mbunge wa Kawe Halima Mdee amemtaja Dk.Magufuli kuwa ni Jembe kwenye mkutano Goba katika uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi barabara ya Mbezi Mwisho kwenda Goba Pamoja na his shotcomings,Magufuli stands out as one of the best from CCM.Ndio amefanya mambo yenye utata hapa na pale,lakini anavumilika.Mimi binafsi nisingemuita jembe.He is normal.Hata hivyo najua mantiki ya uzi wako.Sasa hata kama yuko normal,lakini kwa vile yuko Chama Cha Majuha,hachaguliki.
Katika hali isiyotarajiwa Mbunge wa Kawe Halima Mdee amemtaja Dk.Magufuli kuwa ni Jembe kwenye mkutano Goba katika uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi barabara ya Mbezi Mwisho kwenda Goba mpaka Tangi Bovu.
Aidha, wananchi wa Goba (Wote CHADEMA na CCM) wamempokea Dk.Magufuli kwa shangwe wakimwita "JEMBE JEMBE" Clip ya video angalia hapo chini.
Pia alikuwepo Mbunge wa Jimbo l