watagwanman
Member
- Aug 29, 2015
- 8
- 1
Ni jembe mchapakazi ila mrengo aliepo ndo hatuuamini,huez sukuma gari ukiwa ndani yake na utegemee litasogea#insanity
Mdee anahak kusema ukwel penye ukwel.
Mwakyembe+Magufuli=Maendeleo....
Kwa muda sana kumekuwa na ziara nyingi mikoani kwa waziri mkuu mkuu .Katika ziara hizo kaenda mara nyingi sana Arusha kuliko mahapa pengine popote . Na kila akienda lazima kuna mkutano na michango kibao ya pesa .Najua mtasema anaenda kwao ni sawa lakini ni kweli safari ya mapumziko lazima kuwe na mikutano na yote inahusu kuchangisha mapesa ? Lowasa nasikia anachangisha pesa hata kwa wahindi sirini .Lowasa nasikia yuko kwenye ule ule mkumbo wa kuvimaliza vyama ya Upinzani .Akifika mikoani anawaita wapinzani na kuwaonya dhidi ya kuisema vibaya serikali yao yaani wanatumia ziara za Serikali kufanya kazi Chama pia .
Kubwa zaidi namuliza Lowasa pesa unazo kusanya na ziara kibao namna hii Arusha nataka kufanya nini ? Hebu mwenye habari zaidi juu ya mwenendo wa maziara ya wakubwa hawa na matamshi yao na vyombo vya habari kufa kabisa TZ atuoe nyeti hapa il nasi tufunguke .
Ni zamani acha kupotosha watu
Katika hali isiyotarajiwa Mbunge wa Kawe Halima Mdee amemtaja Dk.Magufuli kuwa ni Jembe kwenye mkutano Goba katika uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi barabara ya Mbezi Mwisho kwenda Goba mpaka Tangi Bovu.
Aidha, wananchi wa Goba (Wote CHADEMA na CCM) wamempokea Dk.Magufuli kwa shangwe wakimwita "JEMBE JEMBE" Clip ya video angalia hapo chini.
Pia alikuwepo Mbunge wa Jimbo la Ubungo Mh.John Mnyika na wote kwa pamoja wamesema "MAENDELEO HAYANA CHAMA"
View attachment 221823
Dk.Magufuli (W/Ujenzi), Halima Mdee(MB-Kawe) na Madabida(M/Kiti CCM -Dsm)
View attachment 221825
Kutoka Kushoto Mkuu wa Mkoa Dsm, Dk.Magufuli, Madabida na Mh.Mnyika.
Acha kuhemka kwani uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya Goba-Tangibovu ulifanyika lini? jaribu kuwa na kumbukumbu ni kabla ya kipindi cha kampenin zaman embu acha ujinga... haya tupe ya zaman walomuita lowasa jembe! achen unafiki
Pengine mkuu wamejua hilo wamekuja chagua mtu si chama ila itakuwaje kwani hatuna mgombea binafsi katika sharia zetu!Ni jembe mchapakazi ila mrengo aliepo ndo hatuuamini,huez sukuma gari ukiwa ndani yake na utegemee litasogea#insanity