Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,113
Kwani vyeti bongo havitengenezeki?Quote 'Kwa mdomo wake alisema ana miaka kumi na nane'
Je maandishi kwenye cheti chake cha kuzaliwa yakisomeka kumi na saba. Note: Kisheria maandishi yana nguvu zaidi.
Ingekua nchi yenye record zakueleweka hata mimi ningemuona huyo mbunge ni mtu wa maana.